Mambo ya kuzingatia katika safari za maisha yako hususani kwa sisi vijana

Faida ya laki Tano kwa siku...
 
Hii namba Tatu nifafanunulie na hatari ya hiyo nyama na ulaji mwingi ni kuanzia kias gani
Nyama nyekundu na wanga kwa wingi zina sababisha magonjwa mengi mwilini hasa magonjwa ya moyo , na pressure , kula nyama nyekundu mara moja kwa mwezi na wanga kidgo na mboga za majan kwa wingi na matunda ni jambo zuri zaid kiafya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…