komedi
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 204
- 17
Jaman mbavu sina mimi, yaani watu wameshakata tamaa ya maisha hivi unakubali uponyaji kwa mizizi huku mkiwa mmesubiliana hadi watu mamia! si angeamuru wapone kwa Neno tu sasa hadi wanakufa!
Upupu mwingine bana!:hand::hand::hand:
Mkuu Mazunguse, Biblia inaonyesha Bwana Yesu amewahi kuponya kipofu kwa kutemea mate udongo na kutengeneza tope kisha akampaka machoni (leo hii ingekuwa wewe pengine ungepigana). Nadhani unapokuwa na shida hasa maradhi makali unachotaka ni kupona tu, na mara nyingi upupu ndio unaoponyesha. Japo matapeli nao huingia humo humo.
Biblia kwenye 1Kor 1:18 inasema neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuuzi(upupu) na kwa sisi tunaookolewa( tunaopona) ni nguvu ya Mungu.