mzushi flani
JF-Expert Member
- Jan 20, 2020
- 1,627
- 2,473
ukute huna kitu halafu manzi kakutoa mkuu... husikii aibu umekabidhiwa billi alafu jembe unaiforwad kwan manzi pembeni hapo??.Ukipanda na demu kwenye daladala konda lazima akuangalie wewe ukifika muda wa nauli hata kama wewe ndo umekaa siti ya dirishani.
Ukiwa na baby mahali mnajidai, bill lazima uletewe mwanaume hata kama yeye ndo kakutoa.
Sent using Jamii Forums mobile app