Alex Muuza Maembe
JF-Expert Member
- Dec 13, 2024
- 655
- 1,413
- Thread starter
- #321
Good sana hii mkuu..Ukotoboa kimaisha wakumbuke waliokushika mkono kufika hapo ulipo wasaidie nao pia wavuke ikiwezekana wasaidie wakiwa huko huko makwao kuepusha makwazo ya hapa na pale