Mambo ya Msingi Sana katika maisha

Mambo ya Msingi Sana katika maisha

(1) Ukipiga mihayo (yawning), chafya au kukohoa, funika mdomo na pua kwa mikono yote miwili.

(2) Usiteme mate, kutapika, kupenga kamasi, wenzako wakiwa wanakula.

(3) Ukienda nyumbani kwa mtu, hususan rafiki, usitangaze madhaifu utakayoyaona. Mfano: Watoto wao wanashindia nguo zilizochanika au wanakula dagaa kila siku.

(4) Rafiki yako unayeheshimiana naye, usiwe na namba ya simu ya mkewe ili kuepuka kutembea naye. Kamwe usitembee na mke wa best friend yako.

(5) Ukiacha kazi ofisini, usiwatukane former employers wako kwa maana katika maisha kuna leo na kesho.

(6) Ni vema ukapakua chakula kidogo kisha ukaongeza kuliko kupakua kingi alafu ukashindwa kukimaliza.

(7) Ukienda kwenye sherehe, hata kama wewe ni ndugu za karibu, usikae sehemu za VIP bila kukaribishwa. Ni aibu sana kuambiwa uondoke kwenye seat za VIP uende kwa wageni wa kawaida.

(8) Ukigundua spouse wa rafiki yako ana uhusiano wa nje ya ndoa, mfuate na mkanye ila usimwambie mumewe/mkewe.

(9) Mtu akikusaidia mara moja, usimgeuzi kitega uchumi cha kumuomba mara kwa mara. Kumbuka yeye pia ana majukumu yake binafsi.

(10) Ukiongea kwenye simu na mtu wa mbali sio vizuri kusema "fulani (Alex) nipo naye hapa ongea naye pia. Kama huyo Alex hajakuomba kuongea na mhusika basi kaa kimya.

(11) Ukipata mshahara mwisho wa mwezi, wape kidogo mfanya usafi pamoja na mpika chai hapo ofisini kwenu. Hao ndio informers na wanajua mengi ya hapo ofisini kwenu.

(12) Usiache kwenda likizo ya mapumziko kwa kuambiwa eti "tutakufidia kwa fedha hizo siku 28 za mapumziko". Afya yako ya akili ni kitu cha msingi sana.

(13) Ukienda ugenini kisha ukaachwa peke yako sebuleni, usishike chochote kama mwenyeji wako hayupo (ameenda kunununulia soda kwa mfano). Hata kama ni gazeti umelikuta hapo, subiri akirudi ndio umuombe.

ANGALIZO: Mimi sio malaika. Mimi nina mapungufu yangu. Ila tujitahidi sana kutenda yaliyo mema kadri ya uwezo wetu.

ONGEZEA NA WEWE NDUGU YANGU......

Ni mimi,

Alex Muuza Maembe
======
Good
 
(1) Ukipiga mihayo (yawning), chafya au kukohoa, funika mdomo na pua kwa mikono yote miwili.

(2) Usiteme mate, kutapika, kupenga kamasi, wenzako wakiwa wanakula.

(3) Ukienda nyumbani kwa mtu, hususan rafiki, usitangaze madhaifu utakayoyaona. Mfano: Watoto wao wanashindia nguo zilizochanika au wanakula dagaa kila siku.

(4) Rafiki yako unayeheshimiana naye, usiwe na namba ya simu ya mkewe ili kuepuka kutembea naye. Kamwe usitembee na mke wa best friend yako.

(5) Ukiacha kazi ofisini, usiwatukane former employers wako kwa maana katika maisha kuna leo na kesho.

(6) Ni vema ukapakua chakula kidogo kisha ukaongeza kuliko kupakua kingi alafu ukashindwa kukimaliza.

(7) Ukienda kwenye sherehe, hata kama wewe ni ndugu za karibu, usikae sehemu za VIP bila kukaribishwa. Ni aibu sana kuambiwa uondoke kwenye seat za VIP uende kwa wageni wa kawaida.

(8) Ukigundua spouse wa rafiki yako ana uhusiano wa nje ya ndoa, mfuate na mkanye ila usimwambie mumewe/mkewe.

(9) Mtu akikusaidia mara moja, usimgeuzi kitega uchumi cha kumuomba mara kwa mara. Kumbuka yeye pia ana majukumu yake binafsi.

(10) Ukiongea kwenye simu na mtu wa mbali sio vizuri kusema "fulani (Alex) nipo naye hapa ongea naye pia. Kama huyo Alex hajakuomba kuongea na mhusika basi kaa kimya.

(11) Ukipata mshahara mwisho wa mwezi, wape kidogo mfanya usafi pamoja na mpika chai hapo ofisini kwenu. Hao ndio informers na wanajua mengi ya hapo ofisini kwenu.

(12) Usiache kwenda likizo ya mapumziko kwa kuambiwa eti "tutakufidia kwa fedha hizo siku 28 za mapumziko". Afya yako ya akili ni kitu cha msingi sana.

(13) Ukienda ugenini kisha ukaachwa peke yako sebuleni, usishike chochote kama mwenyeji wako hayupo (ameenda kunununulia soda kwa mfano). Hata kama ni gazeti umelikuta hapo, subiri akirudi ndio umuombe.

ANGALIZO: Mimi sio malaika. Mimi nina mapungufu yangu. Ila tujitahidi sana kutenda yaliyo mema kadri ya uwezo wetu.

ONGEZEA NA WEWE NDUGU YANGU......

Ni mimi,

Alex Muuza Maembe
======
Namba 4...kwaiyo namba za mashemej zote tuzifute
 
(1) Ukipiga mihayo (yawning), chafya au kukohoa, funika mdomo na pua kwa mikono yote miwili.

(2) Usiteme mate, kutapika, kupenga kamasi, wenzako wakiwa wanakula.

(3) Ukienda nyumbani kwa mtu, hususan rafiki, usitangaze madhaifu utakayoyaona. Mfano: Watoto wao wanashindia nguo zilizochanika au wanakula dagaa kila siku.

(4) Rafiki yako unayeheshimiana naye, usiwe na namba ya simu ya mkewe ili kuepuka kutembea naye. Kamwe usitembee na mke wa best friend yako.

(5) Ukiacha kazi ofisini, usiwatukane former employers wako kwa maana katika maisha kuna leo na kesho.

(6) Ni vema ukapakua chakula kidogo kisha ukaongeza kuliko kupakua kingi alafu ukashindwa kukimaliza.

(7) Ukienda kwenye sherehe, hata kama wewe ni ndugu za karibu, usikae sehemu za VIP bila kukaribishwa. Ni aibu sana kuambiwa uondoke kwenye seat za VIP uende kwa wageni wa kawaida.

(8) Ukigundua spouse wa rafiki yako ana uhusiano wa nje ya ndoa, mfuate na mkanye ila usimwambie mumewe/mkewe.

(9) Mtu akikusaidia mara moja, usimgeuzi kitega uchumi cha kumuomba mara kwa mara. Kumbuka yeye pia ana majukumu yake binafsi.

(10) Ukiongea kwenye simu na mtu wa mbali sio vizuri kusema "fulani (Alex) nipo naye hapa ongea naye pia. Kama huyo Alex hajakuomba kuongea na mhusika basi kaa kimya.

(11) Ukipata mshahara mwisho wa mwezi, wape kidogo mfanya usafi pamoja na mpika chai hapo ofisini kwenu. Hao ndio informers na wanajua mengi ya hapo ofisini kwenu.

(12) Usiache kwenda likizo ya mapumziko kwa kuambiwa eti "tutakufidia kwa fedha hizo siku 28 za mapumziko". Afya yako ya akili ni kitu cha msingi sana.

(13) Ukienda ugenini kisha ukaachwa peke yako sebuleni, usishike chochote kama mwenyeji wako hayupo (ameenda kunununulia soda kwa mfano). Hata kama ni gazeti umelikuta hapo, subiri akirudi ndio umuombe.

ANGALIZO: Mimi sio malaika. Mimi nina mapungufu yangu. Ila tujitahidi sana kutenda yaliyo mema kadri ya uwezo wetu.

ONGEZEA NA WEWE NDUGU YANGU......

Ni mimi,

Alex Muuza Maembe
======
We boya, mimi mke wa mshikaji wangu akimkosa huwa ananipigia kujua what is going on kwa mumewe.
Sisi ni marafiki, ina maana shemeji ashindwe kunipigia wakiwa na emergency let say mwana kaumwa ghafla nami niko karibu?

Aisee, namba ya mke wa jamaa yangu ninayo na huwa nawasiliana naye bila kumwambia mwana.

Mbona simple tu naweka mipaka.
 
We boya, mimi mke wa mshikaji wangu akimkosa huwa ananipigia kujua what is going on kwa mumewe.
Sisi ni marafiki, ina maana shemeji ashindwe kunipigia wakiwa na emergency let say mwana kaumwa ghafla nami niko karibu?

Aisee, namba ya mke wa jamaa yangu ninayo na huwa nawasiliana naye bila kumwambia mwana.

Mbona simple tu naweka mipaka.
Ipo siku tu....
 
Bro, siku hiyo ni lini?
Jamaa nafahamiana naye tangu 2014 wakiwa bado wana mahusiano yasiyo rasmi.
Wameowana 2018 mpaka leo wapo pamoja. Hiyo siku lini?
Alex Muuza Maembe yupo sahihi. Wewe endelea tu kuwasiliana na mke wa best friend wako katika simu. Kuna siku utakuja kuanzisha thread hapa..
 
Alex Muuza Maembe yupo sahihi. Wewe endelea tu kuwasiliana na mke wa best friend wako katika simu. Kuna siku utakuja kuanzisha thread hapa..
Wewe na mimi tuna mitazamo tofauti. Kila mtu aishi atakavyo.

Shida unawasiliana naye kwa lipi?
Sijawahi kufikiria hata siku moja kumtongoza. Hata siku moja.
Binafsi sijawahi kuona ananitamanisha. Na wala si mwanamke mbaya ila tu namuona kama dada yangu.
 
Wewe na mimi tuna mitazamo tofauti. Kila mtu aishi atakavyo.

Shida unawasiliana naye kwa lipi?
Sijawahi kufikiria hata siku moja kumtongoza. Hata siku moja.
Binafsi sijawahi kuona ananitamanisha. Na wala si mwanamke mbaya ila tu namuona kama dada yangu.
Ipo siku....
 
Back
Top Bottom