Mambo ya Msingi Sana katika maisha

Mambo ya Msingi Sana katika maisha

Hii kitu mwenyewe siwezi, namba zao zimekaa tu hata mwaka unaweza pita sijawasiliana nao ila status tunaview kama kawaida
For the sake of good relationship with a best friend, staying away from his wife is the best option to go for..
 
Namba ya Shem nilikuwa nayo Tangu Chuoni na sio Kwamba huwa nampigia tu ili tupige stori.
Kwanza tuna carrier moja na mara nyingi anapiga simu either kuhusu kazi au akiwa na shida na Jamaa ananicheki.
Mmekariri kama Kasongo Tatizo
Eti "Kama Kasongo"

"Kasongo ye yeye, bomami nanga, Kasongo mbona wewo"
 
Namba ya Shem nilikuwa nayo Tangu Chuoni na sio Kwamba huwa nampigia tu ili tupige stori.
Kwanza tuna carrier moja na mara nyingi anapiga simu either kuhusu kazi au akiwa na shida na Jamaa ananicheki.
Mmekariri kama Kasongo Tatizo
Ngoja tuupe muda nafasi..
 
Ukienda kula nje ya home kwako, usiende peke yako. Watu wa karibu na majirani watakuona una mentality za uchoyo.

Mfano Ukienda kula kitimoto, mchukue hata rafiki yako mmoja au wawili. Macho yameumbwa na aibu mkuu Alex Muuza Maembe
 
(1) Ukipiga mihayo (yawning), chafya au kukohoa, funika mdomo na pua kwa mikono yote miwili.

(2) Usiteme mate, kutapika, kupenga kamasi, wenzako wakiwa wanakula.

(3) Ukienda nyumbani kwa mtu, hususan rafiki, usitangaze madhaifu utakayoyaona. Mfano: Watoto wao wanashindia nguo zilizochanika au wanakula dagaa kila siku.

(4) Rafiki yako unayeheshimiana naye, usiwe na namba ya simu ya mkewe ili kuepuka kutembea naye. Kamwe usitembee na mke wa best friend yako.

(5) Ukiacha kazi ofisini, usiwatukane former employers wako kwa maana katika maisha kuna leo na kesho.

(6) Ni vema ukapakua chakula kidogo kisha ukaongeza kuliko kupakua kingi alafu ukashindwa kukimaliza.

(7) Ukienda kwenye sherehe, hata kama wewe ni ndugu za karibu, usikae sehemu za VIP bila kukaribishwa. Ni aibu sana kuambiwa uondoke kwenye seat za VIP uende kwa wageni wa kawaida.

(8) Ukigundua spouse wa rafiki yako ana uhusiano wa nje ya ndoa, mfuate na mkanye ila usimwambie mumewe/mkewe.

(9) Mtu akikusaidia mara moja, usimgeuzi kitega uchumi cha kumuomba mara kwa mara. Kumbuka yeye pia ana majukumu yake binafsi.

(10) Ukiongea kwenye simu na mtu wa mbali sio vizuri kusema "fulani (Alex) nipo naye hapa ongea naye pia. Kama huyo Alex hajakuomba kuongea na mhusika basi kaa kimya.

(11) Ukipata mshahara mwisho wa mwezi, wape kidogo mfanya usafi pamoja na mpika chai hapo ofisini kwenu. Hao ndio informers na wanajua mengi ya hapo ofisini kwenu.

(12) Usiache kwenda likizo ya mapumziko kwa kuambiwa eti "tutakufidia kwa fedha hizo siku 28 za mapumziko". Afya yako ya akili ni kitu cha msingi sana.

(13) Ukienda ugenini kisha ukaachwa peke yako sebuleni, usishike chochote kama mwenyeji wako hayupo (ameenda kunununulia soda kwa mfano). Hata kama ni gazeti umelikuta hapo, subiri akirudi ndio umuombe.

ANGALIZO: Mimi sio malaika. Mimi nina mapungufu yangu. Ila tujitahidi sana kutenda yaliyo mema kadri ya uwezo wetu.

ONGEZEA NA WEWE NDUGU YANGU......

Ni mimi,

Alex Muuza Maembe
======
Naomba maembe ya juice...


Ni hayo tu!!
 
Aliyekusaidia financially wakati umeyumba, kamwe usimsahau katika maisha yako..
 
Ukienda kufanya interview ya kazi, usibebe biblia au kitu chochote kile cha kidini ili kuwaaminisha potential employers kuwa wewe ni mtu wa Mungu sana. Utapoteana mdogo wangu..
 
(1) Ukipiga mihayo (yawning), chafya au kukohoa, funika mdomo na pua kwa mikono yote miwili.

(2) Usiteme mate, kutapika, kupenga kamasi, wenzako wakiwa wanakula.

(3) Ukienda nyumbani kwa mtu, hususan rafiki, usitangaze madhaifu utakayoyaona. Mfano: Watoto wao wanashindia nguo zilizochanika au wanakula dagaa kila siku.

(4) Rafiki yako unayeheshimiana naye, usiwe na namba ya simu ya mkewe ili kuepuka kutembea naye. Kamwe usitembee na mke wa best friend yako.

(5) Ukiacha kazi ofisini, usiwatukane former employers wako kwa maana katika maisha kuna leo na kesho.

(6) Ni vema ukapakua chakula kidogo kisha ukaongeza kuliko kupakua kingi alafu ukashindwa kukimaliza.

(7) Ukienda kwenye sherehe, hata kama wewe ni ndugu za karibu, usikae sehemu za VIP bila kukaribishwa. Ni aibu sana kuambiwa uondoke kwenye seat za VIP uende kwa wageni wa kawaida.

(8) Ukigundua spouse wa rafiki yako ana uhusiano wa nje ya ndoa, mfuate na mkanye ila usimwambie mumewe/mkewe.

(9) Mtu akikusaidia mara moja, usimgeuzi kitega uchumi cha kumuomba mara kwa mara. Kumbuka yeye pia ana majukumu yake binafsi.

(10) Ukiongea kwenye simu na mtu wa mbali sio vizuri kusema "fulani (Alex) nipo naye hapa ongea naye pia. Kama huyo Alex hajakuomba kuongea na mhusika basi kaa kimya.

(11) Ukipata mshahara mwisho wa mwezi, wape kidogo mfanya usafi pamoja na mpika chai hapo ofisini kwenu. Hao ndio informers na wanajua mengi ya hapo ofisini kwenu.

(12) Usiache kwenda likizo ya mapumziko kwa kuambiwa eti "tutakufidia kwa fedha hizo siku 28 za mapumziko". Afya yako ya akili ni kitu cha msingi sana.

(13) Ukienda ugenini kisha ukaachwa peke yako sebuleni, usishike chochote kama mwenyeji wako hayupo (ameenda kunununulia soda kwa mfano). Hata kama ni gazeti umelikuta hapo, subiri akirudi ndio umuombe.

ANGALIZO: Mimi sio malaika. Mimi nina mapungufu yangu. Ila tujitahidi sana kutenda yaliyo mema kadri ya uwezo wetu.

ONGEZEA NA WEWE NDUGU YANGU......

Ni mimi,

Alex Muuza Maembe
======
Ewe dereva wa pikipiki/boda au abiria usiteme makohozi wakati chombo kikiwa kwenye mwendo maana hujui nyumba kuna nani ama unaweza kutemea mwenyewe.
 
ANOTHER ONE: Jitahidi sana usiwe na mwanamke wa ziada katika mtaa mmoja unapoishi na familia yako (mke na watoto). Kama utaamua kuwa na mwanamke wa ziada basi awe mbali na hapo mtaani kwako.

Respect your wife and children.
Na kama ndio huyo umekufa umeoza kwake mahaba niue mtoe mtaani kwako mhamishie jimbo lingine kwa usalama.
 
Back
Top Bottom