Namba nane hapo umenikumbusha tukio moja enzi hizo,jamaa fulani walimwona shemeji yao akiingia gesti na njemba,wakaamua kwenda kumwambia mwenye mali,eti waende nae gesti wafumanie na wakamwambia jamaa wao wataiadhibu njemba,lkn ye mwenye mke amfukuze kabisa uyo mkewe,kwakuwa kamtia haibu kubwa na kamdhalilisha,basi kufika guest wale jamaa wakatimiza Kwa upande wao dhidi ya ile njemba,
Lkn walishangaa mwenye mke wala akuchukua hatua alokua kahaidi,badala akamshika mkono mkewe na kumwambia hebu twende nyumbani shenzi sana,na baadae akawajibu wenzake awezi kulichoma shamba kwasababu yanguruwe mmoja,badala yake amemfukuza nguruwe full stop!!!,jamaa walimwona ovyo sana na kawahaibisha.