Mambo ya Nje: Vita ya Ukraine isituingize mkenge

Hakuna msimamo mbele ya njaa na umaskini. Nchi inayotegemea misaada na mikopo haiwezi kuwa na msimamo. Itafanya lolote ili isinyimwe mikopo na misaada.
 
Umedanganywa ukadanyika kwa propaganda za kijuha.
 

Penye mzozo wa dhulumati na mdhulumiwa kujifanya haituhusu ni ubinafsi uliopitiliza. Kwa jina sahihi zaidi, ni uzwazwa.
 
Penye mzozo wa dhulumati na mdhulumiwa kujifanya haituhusu ni ubinafsi uliopitiliza. Kwa jina sahihi zaidi, ni uzwazwa.
Saddam Hussein aliposhambuliwa na kuambiwa ana silaha za maangamizi, mliufyata kama hamupo duniani.
 
Saddam Hussein aliposhambuliwa na kuambiwa ana silaha za maangamizi, mliufyata kama hamupo duniani.

Gulf war 1: Ilikuwa kumfurusha Saddam aliyekuwa kavamia Kuwait.

Hiyo ni kama uvamizi wa Amin Kagera, Putin Ukraine, Marekani Afghanistan, NATO Libya nk.

Sawa sawa na jitu zima (kama la mabambasi) kubaka au kupiga kitoto kidogo.

Yote hiyo haikubaliki.
 
Gulf war 1: Ilikuwa kumfurusha Saddam aliyekuwa kavamia Kuwait.

Hiyo ni kama Amin Kagera, Putin Ukraine, Marekani Afghanistan, NATO Libya nk.

Sawa sawa na kitu zima kubaka au kupiga kitoto kidogo.

Yote hiyo haikubaliki.
Hujaelewa kabisa tofauti za hizi vita.
Na wala huwezi kuilinganisha vita ya Kagera na hii ya Ukraine.
Soma kwanza historia na ujiridhishe facts na source zote za vita.
 
Hujaelewa kabisa tifauti za hizi vita.
Na wala huwezi kuilinganisha vita ya Kagera na hii ya Ukraine.
Soma kwanza historia na ujiridhishe facts zote za vita.

Uvamizi ni uvamizi tu.

Saddam hakuwa na uhalali kuvamia Kuwait. Israel Gaza. NATO Libya, Marekani Afghanistan, Russia Ukraine nk.

Si Amini, si wabakaji. Wote waovu tu.

Kura UN zinaakisi wengi walipo - wape!
 
Unasaidiwa ama unamegewa kifungu kiduchu cha faida ya rasilimali zako wanazokunyonya?!

Mzungu hajawahi kutoa msaada bure tambua.
Tunanyonywa kwasababu ya ujinga wetu,na kwanini tupewe bure kwani sisi vilema.Na kama alitunyonya ana uwezo wakukaa kimya asirudishe chochote na hatuna chakumfanya kwahiyo tushukuru ata hicho kidogo anachokirudisha.
 
Utumwa wa kiakili, na utatawaliwa milele.
Hali si hali. Hata kibaraka wa marekani kwa miaka mingi saudia this time kamgomea.

Nasubiri kwa hamu matokeo ya uchaguzi Ufaransa trh 24. Le pen kaweka wazi, akishinda hakuna vikwazo kwa russia kwenye mafuta na gesi.
 
Mrusi anatusaidia nini kwenye sekta za Afya, Elimu, Kilimo, Ustawi wa jamii au hata Technologia?

We go with someone who cares about Africa..at least.
.
Una mifano ya msaada huo?
 
Uvamizi wa Rusia nchini Ukraine hauna tofauti na uvamizi wa Nduli Iddi Amin kule Kagera mwaka 1978
Nenda ubalozi wa Ukraine ukaombe kujiunga na Azov battalion hii Dunia inaenda inabadilika kujipendekeza moja Kwa moja upande Fulani kutawacost wajukuu, Kuna mataifa yalikuwa na nguvu sasa hayana tena
 
Hii vita inatuhusu sana,ndo maana sasa hivi taifa liko kwenye mjadala wa mfumuko wa bei ya bidhaa mbalimbali na mafuta.Kwahiyo hapa lazima ituhusu kwasababu athari za huo ujinga zinatugusa hadi sisi.Sasa unaposema havituhusu nashindwa kukuelewa.Ukiwa na akili timamu lazima umuunge mkono ukraine na Nato kwasababu wao ndio wanaohamasisha hii vita imalizike kwasababu wanajua vita vikiendelea nchi maskini hasa za afrika ndizo zitakazo athirika.sasa nashangaa mtu anapojifanya anamuunga mkono mrusi aliyeanzisha vita uku akijua tunaoathirika zaidi ni sisi.
 
Mkuu soma hii topic hapa chini then uje tujadili kupitia reply yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…