Mambo ya Nje: Vita ya Ukraine isituingize mkenge

Mambo ya Nje: Vita ya Ukraine isituingize mkenge

Uvamizi ni uvamizi tu.

Saddam hakuwa na uhalali kuvamia Kuwait. Israel Gaza. NATO Libya, Marekani Afghanistan, Russia Ukraine nk.

Si Amini si wabakaji wote waovu.

Kura UN zinaakisi wengi walipo - wape!
Inasikitisha watanzania huu mtandaoni mna uelewa mdogo sana and you easily fall prey kwa prooaganda za CNN.
Baada ya break up ya USSR nchi kubwa ambamo Ukraine ilikuwemo, nchi za Ulaya kupitia NATO walikubaliana kuwa kibiashara nchi zote ziko huru kujiunga na EU. Lakini baada ya makubaliano hayo NATO iliendelea kuwarubuni wana familia wa USSR,Poland,Lithuania na nyinginezo kujiunga NATO.
Ukraine nao wakaahidiwa kujiunga NATO, na Ukraine walianza mchakato huo.
NATO kimsingi iliundwa kuipiga Urusi ambayo sasa ikaona inazungukwa na maadui.
Urusi wakaionya Ukraine-ukijiunga na adui zangu basi nawe ni adui.
Ukraine ikakataa na kukaidi.
Urusi ikaona heri nianze na adui aliye mlangoni.
Ikaivamia Ukraine kwanza kuikomoa na pili kuwaambia NATO, namtandika huyu ndugu aliyenikana na nione atakayesema fyoko.

Sasa ulinganishi hapa na Kagera haupo au mtu huelaewi kabisa hii East-West conflict.
 
Sasa hivi mawaziri wa EU (Umoja wa Ulaya) na hata maofisa wa Marekani na Uingereza, wanazunguka Afrika na Asia nzima ili mataifa ya Magharibi na NATO wapate sapoti.

Nchi za magharibi wanasahau mchango mkubwa wa Urusi vita ya Ukombozi kusini mwa Afrika.

Vita ya Ukraine na Urusi haituhusu waafrika, ni vita ya kwao Ulaya
Kiukweli tunawahurumia watu wa Ukraine kwa kuingizwa mkenge na nchi za magharibi.

Tanzania inabidi tuweke msimamo unaoeleweka, tunawahurumia watu wa Ukraine lakini vita hivyo havituhusu.
India imekataa upuuzi wa kulazimishwa kuiunga mkono NATO katika vita ambayo wamesema haiwahusu.View attachment 2185321
Kwanza ni uwongo kufai kuwa Urusi ilizisaidia nchi za Afrika kwenye kutafuta uhuru.

Usichanganye Urusi na Kyuba.
 
Sasa hivi mawaziri wa EU (Umoja wa Ulaya) na hata maofisa wa Marekani na Uingereza, wanazunguka Afrika na Asia nzima ili mataifa ya Magharibi na NATO wapate sapoti.

Nchi za magharibi wanasahau mchango mkubwa wa Urusi vita ya Ukombozi kusini mwa Afrika.

Vita ya Ukraine na Urusi haituhusu waafrika, ni vita ya kwao Ulaya
Kiukweli tunawahurumia watu wa Ukraine kwa kuingizwa mkenge na nchi za magharibi.

Tanzania inabidi tuweke msimamo unaoeleweka, tunawahurumia watu wa Ukraine lakini vita hivyo havituhusu.
India imekataa upuuzi wa kulazimishwa kuiunga mkono NATO katika vita ambayo wamesema haiwahusu.View attachment 2185321
Kama vita ya Ukraine haituhusu, inakuwaje tunataka matatizo yatu yawahusu wao pia. Tukipata mafuriko tunawaomba watusaidie. Kwanza elewa kuwa walioisaidia afrika wakati wa kugombea uhuru siyo Urusi bali muungano wa jamhuri nchi za kisoshalist za soviet (USSR). Nchi hizo ilikuwa ni pamoja na Urusi na Ukraine. In fact wakati wa USSR, misaada mingi ya kijeshi ilikuwa inatoka Ukraine ambako ndiko kulikuwa na viwanda vya silaha. Hta hivyo Uhuru wa Marekani usingepatiokana bila msaada wa Marekani wa kuweka vikwazo dhidi ya utawala wa makaburu.
 
Ushaambiwa urusi alitusaidia wakati wa ukombozi, kama sio urusi bibi yako angeendelea kuchapwa bakora na wakoloni/mabeberu.
Hizo hadithi za uwongo, kawadanganye wajinga. Ni nchi gani ilisaidiwa na Urusi kupata Uhuru? Ni uwongo mkubwa.
 
Inasikitisga watanzania huu mtandaoni mna uelewa mdogi sana na you easily fall prey kwa prooaganda za CNN.
Baada ya break uo ya USSR nchi kubwa ambami Ukraine ilikuwemo, nchi za Ulaya kupitia NATO walikubaliana kuwa kibiashara nchi zote ziko huru kujiunga na EU. Lakini baada ya makubaliani hayo NATO iliendekea kuwarubuni wana familia wa USSR,PolandLithuania na nyinginezo kujiunga nazo.
Ukraine nao wakaahidiwa kujiunga NATO, na Uraine walianza mchakato huo.
NATI kimsingi iliundwa kuipiga Urusi ambayo sasa ikiaona inazungukwa na mmaadui.
Urusi wakaiinya Ukraine-ukijiunga na adui zangu basi nawe ni adui.
Ukraine ikakataa.
Urusi ikaona heri nianze na adui aliye mlangoni.
Ikaivamia Ukraine kwanza kuikomoa na pili kuwaambia NATO, namtandika huyu ndugu aliyenikana na nione atakayesema fyoko.

Sasa ulinganishi hapa na Kagera haupo au mtu huelaewi kabisa hii East-West conflict.
NATO huwa haiwarubuni kuungana nao, bali nchi zenyewe ndizo zinazoomba. In fact process ya kujiungana na NATO ilikuwa ni ngumu sana ndiyo maana Ukraine haijwahi kukubaliwa mpaka leo. Vitendo vya urusi vya kutishis nchi hizo ndiyo inafanya ziombe kuwa wanachama wa NATO. Leo hii hata Finland na Sweden nazo zinaomba kuingia kwenye NATO.
 
Kama Urusi ilitusaidia basi hata EU imetusaidia sana kwenye sekta nyingi ikiwemo miradi ya afya na maji.

Aliyeisaidia Afrika kwenye Ukombozi ni Soviet Union(USSR) umoja ambao hata hiyo Ukraine ilikuwemo ndani yake pia!
 
Inasikitisha watanzania huu mtandaoni mna uelewa mdogo sana and you easily fall prey kwa prooaganda za CNN.
Baada ya break up ya USSR nchi kubwa ambamo Ukraine ilikuwemo, nchi za Ulaya kupitia NATO walikubaliana kuwa kibiashara nchi zote ziko huru kujiunga na EU. Lakini baada ya makubaliano hayo NATO iliendelea kuwarubuni wana familia wa USSR,Poland,Lithuania na nyinginezo kujiunga NATO.
Ukraine nao wakaahidiwa kujiunga NATO, na Ukraine walianza mchakato huo.
NATO kimsingi iliundwa kuipiga Urusi ambayo sasa ikaona inazungukwa na maadui.
Urusi wakaionya Ukraine-ukijiunga na adui zangu basi nawe ni adui.
Ukraine ikakataa na kukaidi.
Urusi ikaona heri nianze na adui aliye mlangoni.
Ikaivamia Ukraine kwanza kuikomoa na pili kuwaambia NATO, namtandika huyu ndugu aliyenikana na nione atakayesema fyoko.

Sasa ulinganishi hapa na Kagera haupo au mtu huelaewi kabisa hii East-West conflict.

Ukraine kama ilivyo Russia ni nchi huru.

Hii ni kama ilivyokuwa Tanzania na Uganda, Iraq na Kuwait, Marekani na Afghanistan nk.

Ukraine ina haki kwa maamuzi yake na hata utayari wa kuifia nchi yao.

Kelele zako kuwadhania Ukraine, EU au UN kuwa ni wajinga isipokuwa Jidu La Mabambasi ni umburula ule ule usiokuwa na tofauti na hawa wenye kuota ndoto zao mchana hapa:

IMG_20220303_102530_977.jpg


Haya mambo siyo size yenu!
 
NATO wanataka mchango gani kwa Tanzania? Pengine uzoefu wetu tulivyompiga nduli iddiamini dada wa uganda. Inaonyesha kwenye vita ile tulitumia mbinu za asili hasa baada ya kumsikia Mzee Luteni Makamba akitupa uzoefu wa uwanja wa mapambano. Eti waliambiwa baada ya mvua kunyesha wasingeshambuliwa. Mambo yakawaendea ndivo sivyo.
Mzee Makamba alikuwa Mpishi wa kijeshi,wakati wa vita.

Aache Kamba zake.
 
Mzee Makamba alikuwa Mpishi wa kijeshi,wakati wa vita.

Aache Kamba zake.

Moja ya faida kumbwa ya mfumo wa vyama vingi ni kufuta siasa jeshi. JWTZ ilikuwa moja ya jumuiya za CCM ingeendelea hivi hadi leo 2022 sipati picha.
 
Kwanza ni uwongo kufai kuwa Urusi ilizisaidia nchi za Afrika kwenye kutafuta uhuru.

Usichanganye Urusi na Kyuba
Ukraine kama ilivyo Russia ni nchi huru.

Hii ni kama ilivyokuwa Tanzania na Uganda, Iraq na Kuwait, Marekani na Afghanistan nk.

Ukraine ina haki kwa maamuzi yake na hata utayari wa kuifia nchi yao.

Kelele zako kuwadhania Ukraine, EU au UN kuwa ni wajinga isipokuwa Jidu La Mabambasi ni umburula ule ule usiokuwa na tofauti na hawa wenye kuota ndoto zao mchana hapa:

View attachment 2185408

Haya mambo siyo size yenu!
Na Tanzania kama ilivyo Marekani na Urusi ni nchi huru.
Usiingie kichwa kichwa kwenye ugomvi ambao wala huna asili nao.

Kama umeguswa na kuonewa Ukraine, wewe kavae kombati na ukapigane kwa uchungu wa mzungu kuonewa na mzungu mwenziwe.
Hapo ndo utakapojikuta unazoa kinyesi cha waliouwawa, pengine utapewa na uraia huko.

Actually I question sense yako ya uelewa kulinganisha Vita ya Kagera, Iraq na Kuwait, na uongo wa Weapons of Mass destruction War!
Bahati nzuri zote zilitokea nikiwepo.

Kwa ujinga uliokithiri , wala hamkuona wanafunzi wa Kitanzania walivyobaguliwa kukimbia vita katika mji wa Mariopoul.
Na ukielewa hivyo na bado ukashabikia hiyo vita, basi unarudi na medali ile ile ya umburula.
 
Inasikitisha watanzania huu mtandaoni mna uelewa mdogo sana and you easily fall prey kwa prooaganda za CNN.
Baada ya break up ya USSR nchi kubwa ambamo Ukraine ilikuwemo, nchi za Ulaya kupitia NATO walikubaliana kuwa kibiashara nchi zote ziko huru kujiunga na EU. Lakini baada ya makubaliano hayo NATO iliendelea kuwarubuni wana familia wa USSR,Poland,Lithuania na nyinginezo kujiunga NATO.
Ukraine nao wakaahidiwa kujiunga NATO, na Ukraine walianza mchakato huo.
NATO kimsingi iliundwa kuipiga Urusi ambayo sasa ikaona inazungukwa na maadui.
Urusi wakaionya Ukraine-ukijiunga na adui zangu basi nawe ni adui.
Ukraine ikakataa na kukaidi.
Urusi ikaona heri nianze na adui aliye mlangoni.
Ikaivamia Ukraine kwanza kuikomoa na pili kuwaambia NATO, namtandika huyu ndugu aliyenikana na nione atakayesema fyoko.

Sasa ulinganishi hapa na Kagera haupo au mtu huelaewi kabisa hii East-West conflict.
Ni dharau za hali ya juu kuamini kuwa nchi inaweza kurubuniwa. Unataka kusema Ukraine haina watu wenye akili hadi warubuniwe?

Una uelewa mdogo sana kuhusu siasa za Russia na mataifa ambayo zamani yalikuwa sehemu ya USSR.

Ukumbuke kuwa baada ya mataifa haya yaliyojitoa yalipoanza kudai kutaka kuwa huru, Russia ilikataa. Lakini baadaye Russia ilisalimu amri baada ya maandamano makubwa katika mataifa haya. Lakini Russia ilikubali kwa shingo upande, ikataka iendelee kuya-control kwa mlango wa nyuma. Russia ikawa inatumia njia za kijasusi kuwawekea marais inaowataka. Imefanikiwa hivyo kwa Ukraine kwa miongo kadhaa.

Uchaguzi wa mara ya mwisho, wananchi walimkataa Rais kibaraka wa Russia. Wakamchagua mtu asiye na mafungamano na Urusi. Baada ya hapo, wananchi wakaanza kuitaka Serikali waliyoichagua ikamilishe haraka matakwa yao ya kutaka kuwa sehemu ya NATO. Na wananchi waliona umuhimu huo baada ya Russia mwaka 2014, kuipiga Ukraine. NATO, ndio waliokuwa wakisita kuipokea Ukraine, kwa kuhofia kumwudhi Russia. Pressure ya wananchi kutaka kuwa sehemu ya NATO ikawa kubwa, kiasi cha NATO kuyapokea maombi ya Ukraine lakini walikuwa bado hawajayatolea maamuzi. Kabla hata ya uamuzi wa NATO kukataa au kukubali, Russia akawa amekwishamvamia Ukraine.

Nina uhakika sana kuwa baada ya uvamizi huu, NATO watayakubali maombi ya Ukraine, mara moja.

Kutokana na ukichaa wa Putin, sasa nchi zote zinazomzunguka Mrusi, zinataka kujiunga na NATO maana unyama wa Urusi dhidi ya Ukraine, umewapa funzo kubwa kutambua kuwa wana jirani kichaa ambaye kuweza kumkabili inahitajika nguvu ya umoja.
 
Ni dharau za hali ya juu kuamini kuwa nchi inaweza kurubuniwa. Unataka kusema Ukraine haina watu wenye akili hadi warubuniwe?

Una uelewa mdogo sana kuhusu siasa za Russia na mataifa ambayo zamani yalikuwa sehemu ya USSR.

Ukumbuke kuwa baada ya mataifa haya yaliyojitoa yalipoanza kudai kutaka kuwa huru, Russia ilikataa. Lakini baadaye Russia ilisalimu amri baada ya maandamano makubwa katika mataifa haya. Lakini Russia ilikubali kwa shingo upande, ikataka iendelee kuya-control kwa mlango wa nyuma. Russia ikawa inatumia njia za kijasusi kuwawekea marais inaowataka. Imefanikiwa hivyo kwa Ukraine kwa miongo kadhaa.

Uchaguzi wa mara ya mwisho, wananchi walimkataa Rais kibaraka wa Russia. Wakamchagua mtu asiye na mafungamano na Urusi. Baada ya hapo, wananchi wakaanza kuitaka Serikali waliyoichagua ikamilishe haraka matakwa yao ya kutaka kuwa sehemu ya NATO. Na wananchi waliona umuhimu huo baada ya Russia mwaka 2014, kuipiga Ukraine. NATO, ndio waliokuwa wakisita kuipokea Ukraine, kwa kuhofia kumwudhi Russia. Pressure ya wananchi kutaka kuwa sehemu ya NATO ikawa kubwa, kiasi cha NATO kuyapokea maombi ya Ukraine lakini walikuwa bado hawajayatolea maamuzi. Kabla hata ya uamuzi wa NATO kukataa au kukubali, Russia akawa amekwishamvamia Ukraine.

Nina uhakika sana kuwa baada ya uvamizi huu, NATO watayakubali maombi ya Ukraine, mara moja.

Kutokana na ukichaa wa Putin, sasa nchi zote zinazomzunguka Mrusi, zinataka kujiunga na NATO maana unyama wa Urusi dhidi ya Ukraine, umewapa funzo kubwa kutambua kuwa wana jirani kichaa ambaye kuweza kumkabili inahitajika nguvu ya umoja.
Wewe kanywe maziwa ulale
You hardly know what you are talking about.
 
Inasikitisha watanzania huu mtandaoni mna uelewa mdogo sana and you easily fall prey kwa prooaganda za CNN.
Baada ya break up ya USSR nchi kubwa ambamo Ukraine ilikuwemo, nchi za Ulaya kupitia NATO walikubaliana kuwa kibiashara nchi zote ziko huru kujiunga na EU. Lakini baada ya makubaliano hayo NATO iliendelea kuwarubuni wana familia wa USSR,Poland,Lithuania na nyinginezo kujiunga NATO.
Ukraine nao wakaahidiwa kujiunga NATO, na Ukraine walianza mchakato huo.
NATO kimsingi iliundwa kuipiga Urusi ambayo sasa ikaona inazungukwa na maadui.
Urusi wakaionya Ukraine-ukijiunga na adui zangu basi nawe ni adui.
Ukraine ikakataa na kukaidi.
Urusi ikaona heri nianze na adui aliye mlangoni.
Ikaivamia Ukraine kwanza kuikomoa na pili kuwaambia NATO, namtandika huyu ndugu aliyenikana na nione atakayesema fyoko.

Sasa ulinganishi hapa na Kagera haupo au mtu huelaewi kabisa hii East-West conflict.
Ni upumbavu, ujinga na ujuha kumpiga ndugu yako aliyekukana. Na hadi ndugu yako akukane basi ujue wewe ni shithole.
 
Ni upumbavu, ujinga na ujuha kumpiga ndugu yako aliyekukana. Na hadi ndugu yako akukane basi ujue wewe ni shithole.
Ni upumbavu, ujinga na ujuha kumpiga ndugu yako aliyekukana. Na hadi ndugu yako akukane basi ujue wewe ni shithole.
Nonsense!
Na tukamtandika kisawasawa Idi Amin jirani na ndugu yetu, alipoleta za kuleta.
 
Tayari mama anaenda America marekani ushauri wako umechelewa
Kwenda Marekani hakuna maana ya ku compromise msimamo wa kutoingilia vita hii.
Na zaidi ya hspo Tanzania imeshasema mazungumzo ndio njia pekee ya kutatua mzozo huo.

"Tanzania imesema msimamo wake katika mgogoro kati ya Urusi na Ukraine ni pande zote kutafuta suluhu kwenye meza ya mazungumzo."

Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula amesema hayo akifanya mahojiano na chombo cha habari kutoka China.
 
Back
Top Bottom