Mwanamkiwi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 2,023
- 2,402
Kaka Ukraine na Urusi walikuwa na asili ya pamoja miaka 1000 iliyopita. Tangu siku zile lugha na utamaduni zimekuwa tofauti. Hii ni kawaida kote duniani na kila taifa lina haki kuamua, au la?Wewe inaelekea hujui kabisa hata chanzo cha vita hivyo.
Na hujui kuwa Ukraine na Warusi ni ndugu wenye asili moja.
Na hujui kuwa kati ya ndugu hawa wawili, Ukraine wamerubuniwa wajiunge NATO ili wampige ndugu yake Ukraine, Mrusi.
Na hujui kwamba Urusi anampiga mdogo wake Ukraine ili kumkomoa tu na kuikomoa NATO.
SASA mtoa posti wewe ndugu yako mweupe hapo nani?
Ukraine wana maarifa mabaya kuhusu Urusi hivyo waliamua uhuru na Urusi ilikubali ikafanya mkataba nao wakiahidi kuheshimu mipaka na uhuru wa Ukraine. Ahadi hiyo sasa imevunjika.