Mbona unaleta madai matupu, ilahali huna cha kuonyesha.
1. Hapakuwa na mpango wowote kupeleka silaha za kishambulizi Ukraine. NATO imekataa ombi la Ukraine kujiunga tangu 2008. Ukisai kinyume, lete ushahidi. -
2. hadi sasa hata hakuna silaha za mashambulizi zilizopelekwa katika nchi nyingine za NATO katika Ulaya mashariki (zulizokuwa nusukoloni za Urusi hadi 1991)
3. Idadi ndogo wa washauri na walimu waliwahi kufika UKraine, wote waliondoka kabla ya uvamizi. Hakuna vikosi vya NATO UKRAINE.
4. Ulileta KUBA, nilikujibu, unashindwa kuleta chochote sana unaanza stori za Venezuela au mapinduzi ya kijeshi (si uvamizi wa Marekani) huko Chile.
Hapakuwa na silaha yoyote ya kishambulizi ya NATO UKraine, hapakuwa na mpango wa kuleta, Urusi inavamia kwa sababu inataka kurudisha ukoloni wake.
Na wewe ilhali huna cha kujibu, unaanza matusi. Hongera sana!