Bahati mbaya sana chance ya kushinda kwake ni kidogo.Hali si hali. Hata kibaraka wa marekani kwa miaka mingi saudia this time kamgomea.
Nasubiri kwa hamu matokeo ya uchaguzi Ufaransa trh 24. Le pen kaweka wazi, akishinda hakuna vikwazo kwa russia kwenye mafuta na gesi.
I stand neutral.I stand with Russia.
Analogy ya baba na mwana na jambazi ni mahala pake kabisa.Mzee, kwanza Ukraine si mtoto wa Urusi, labda usome historia yako tena.
Lugha hii ya baba na mtoto ni bure kati ya mataifa.
Unaonaje kama Mjerumani au Mwingereza anakuja kuchapa mtoto wake Tanzania? (maanake mipaka iliyopo iliamuliwa 100% na hao, Nyerere aliunganisha vipande viwili tu vilivyoamuliwa awali).
Tena NATO si mjambazi, ni ushirikiano uliooundwa si kwa shabaha ya kuvamia Urusi, bali wa kuteteana dhidi ya vamizi wa Urusi jinsi zilivyotokea kuanzia 1945 mwaka kwa mwaka.
Kwa nini unadhani watu wa Finland wanaamua ghafla kujiunga nayo NATO? Kwa sababu wanaona kiongozi wa Urusi hajali mapatano wala mikatab a, anatafuta ukoloni mpya tu bila kujali mapatano yoyote.
Tafadhali ujelimishe angalau kidogo kabla ya kuendelea.Analogy ya baba na mwana na jambazi ni mahala pake kabisa.
Na kama huelewi holo basi na kuelewa kwa nini Urusi inampiga Ukraine itakuwa vigumu sana kwako kuelewa.
WWIII karibia itokee 1962 katika Cuban Missile Crisis, wakati Urusi ilitaka kufanya kile kile ambacho Wamarekani walitaka kufanya Uraine.
Cuba kwa uhuru wake na sovereighnity, iliomba na kukubaliwa na Urusi kuweka makombora mazito kilometa 90 toka Marekani.
Marekani ikapinga “jirani” na ndugu yake( kama Ukraine) kupokea makombora hayo na ikapiga mtiti wa nguvu kuipiga mabomu Cuba na hata Urusi kama wameendelea na mpango huo.
Urusi ikakubali yaishe na kurudisha makombora yake.
Pengine ninyi wengine mlikiwa hamjazaliwa
Leo kinatokea kile kile in reverse, hamuyaoni wala hamuelewi.
Kueni muyaone.
1. NATO ilikuwa na mpango wa kupeleka silaha Ukraine, ikijiunga tu na NATOTafadhali ujelimishe angalau kidogo kabla ya kuendelea.
1. Urusi ilipeleka makombora Kuba, hakuna aliyepeleka makombora Ukraine
2. Urusi ilileta wanajeshi Kuba, hakuna wanajeshi wa NATO Ukraine.
3. Marekani ilidai Warusi waondoke, waliondoka, hakuna aliyevamia Kuba baadaye.
4. Urusi alivamia Ukraine wakati hakuna kombora ya NATO wala mwanajeshi wa NATO nchini.-
5. Marekani ilichukia lakini ilivumilia ushirikiano wa Kuba na Urusi baadaye
6. Urusi inadai eti ina haki ya kuamulia Ukraine ishirikiane na nani...
Kusoma Propaganda mno kunaathiri uwezo wa kutumia akili, naona. Sivyo?
Mbona unaleta madai matupu, ilahali huna cha kuonyesha.1. NATO ilikuwa na mpango wa kupeleka silaha Ukraine, ikijiunga tu na NATO
2. Nchi za NATO zimepeleka “washauri” wengi tu Ukraine. Inategemea wewe unaelewa nini by washauri.
3. Urusi imeshauri Ukrane asijiingize NATO, amekaidi
4. Refer2 above
5. Hata hueleweki, ushirikiano na Venezuela vipi?
6. Kina Ortega, Allende walikula joto ya jiwe, na nchi nyingi za South America peleka mishale yako na umwone Uncle Sam.
Its shocking vijana wa leo mko empty headed in international issues.
Mkuu ukishalishwa peremende za Washington, si rahisi kuona upande mwingine.Mbona unaleta madai matupu, ilahali huna cha kuonyesha.
1. Hapakuwa na mpango wowote kupeleka silaha za kishambulizi Ukraine. NATO imekataa ombi la Ukraine kujiunga tangu 2008. Ukisai kinyume, lete ushahidi. -
2. hadi sasa hata hakuna silaha za mashambulizi zilizopelekwa katika nchi nyingine za NATO katika Ulaya mashariki (zulizokuwa nusukoloni za Urusi hadi 1991)
3. Idadi ndogo wa washauri na walimu waliwahi kufika UKraine, wote waliondoka kabla ya uvamizi. Hakuna vikosi vya NATO UKRAINE.
4. Ulileta KUBA, nilikujibu, unashindwa kuleta chochote sana unaanza stori za Venezuela au mapinduzi ya kijeshi (si uvamizi wa Marekani) huko Chile.
Hapakuwa na silaha yoyote ya kishambulizi ya NATO UKraine, hapakuwa na mpango wa kuleta, Urusi inavamia kwa sababu inataka kurudisha ukoloni wake.
Na wewe ilhali huna cha kujibu, unaanza matusi. Hongera sana!
kweli huna cha kuonyesha, tuache.Mkuu ukishalishwa peremende za Washington, si rahisi kuona upande mwingine.
Tutabishana mpaka asubuhi na hatutafikia muafaka.
Ndio maana nilisema huko nyuma we should mind our own business and the West should mind theirs.
Nimeweka clip ya India ili ikugutue akili, wengine wanaivyoiona dunia.
Ushaambiwa urusi alitusaidia wakati wa ukombozi, kama sio urusi bibi yako angeendelea kuchapwa bakora na wakoloni/mabeberu.
Wewe utakua moja kati ya haya..kamba hii
Vita inapiganwa huko.kweli huna cha kuonyesha, tuache.
Wako wengi hao, kizazi cha CNN.Wewe utakua moja kati ya haya..
1. Hujui historia.
2. Ulizaliwa miaka ya 2000's
3. Ni zao la mfumo mbovu wa elimu.
bahati mbaya zaidiWewe utakua moja kati ya haya..
1. Hujui historia.
2. Ulizaliwa miaka ya 2000's
3. Ni zao la mfumo mbovu wa elimu.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Frank - Walter Stainmeier kufanya ziara Tanzania, Waziri huyo anatarajia kufanya mazungumzo na Rais wa Tanzania Mama Samia Hassan na Viongozi wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA.
Ziara hiyo inaanza kesho
Source
DW