Mambo yanayoendelea Bar ya Savoy, sio tamaduni zetu

Unaharibu biashara za watu, kwani mwenye hio bar ndio anawauza hao wanawake?. Dom kuna danguro lipo karibu na msikiti, yaani saa kumi tayari wadada washakiwasha, hapa napo tuwalaumu viongozi wa msikiti?
 
What is your point buddy? Live your life..how does it affect you…than those stealing your money using pen….? Let people enjoy ….
 
Unaharibu biashara za watu, kwani mwenye hio bar ndio anawauza hao wanawake?. Dom kuna danguro lipo karibu na msikiti, yaani saa kumi tayari wadada washakiwasha, hapa napo tuwalaumu viongozi wa msikit
Shida Yako umekurupuka, sijalaumu kanisa , ila kama unaona ni fresh, Haina noma Kila mtu ana notion tofauti
 
Panafaa kwenda kufanya utalii na kujionea kwa macho.. Hicho ndio chakula cha macho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…