Mambo yanayosababisha wanaume tuliooa tuwachoke haraka wake zetu

Ndg mm yamenikuta hasa niliposoma namba 5,6,7 Yan tumwombe Mungu kwa kweli.
 
Nasisi tunavumilia jamani msituonee tu....mnanuka mbupu hatareee

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....! Ile unataka kupiga bj unakutana na bonge la smell ya kibeberu....! Ila kweli.

Lakini upo utofauti mkunbwa wa smell ya mbupu na smell ya k kama haisafishwa vizuri.
Utofauti ni huu,wanawake wengi siku hizi wanatumia vitu sio asilia kuanzia mafuta,dawa za uzazi,na vyakula hivi vya kisasa kisasa. Lakini kubwa sana kuoshea sabuni zenye kemikali kali huko kwenye k. Hiyo inaondoa wale bacteria rafiki wanaotunza k. Kwa hiyo ile smell asili inapotea

Kwa wanaume wanaonuka mbupu ni wale wala vyepe,energy energy sana. Sisi wa zamani wala mihogo ya kuchemsha,smell yetu ni ile asilia. Ndio maana nikichomoka home siku 3 sijang'aa,unaanza kunusa shati langu na njupi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ