Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Wanamdanganya I think...... naogopa japo nafurahiHalafu maskini ya Mungu hata hajui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamdanganya I think...... naogopa japo nafurahiHalafu maskini ya Mungu hata hajui.
😂😂😂Huyu atajibu wamassai wa Ngorongoro wamebubujikwa na machozi ya furaha baada ya wilaya yao kufutwa.
Usikute siyo kwenye akili tu, bali Uchawa umemwingia hadi kule chini sijui katikati.Naona uchawa ushakuingia hadi kwenye akili.
Hao waliouziwa walikwambia wanakuja kupanda miti, kama mbuga zinauzwa ili kuchimba madini au unadhani watakua wanachimba hewaniWaondoke tu. Mi nikitembelea Mwanza na Shinyanga jinsi miti ilivyokatwa na kuharibu mazingira, waondoke tu
She has to outsmart the system,Jamaa wanamtengenezea ajali.Hii ni dalili mbaya kwa mwenyekiti
Hawa wametuharibia sanaNaililia nchi yangu Jamhuri ya Tanganyika
Usimame na nani? Waondoke tu wanaharibu mazingiraWatanzania tusimame pamoja na hawa Wamasai dhidi ya uharamia huu wa kikatili,
Makahaba hawana aibuUngekaa kimya ingekusaidia kuficha upumbavu wako!
Armed forces have never stood chances to overwhelm the angry mass.Never!As of 2018, Tanzania had 28,000 people in its armed forces, which is a slight decrease from 35,400 in 2000. In 2020, the military size remained at 28,000. The Tanzania People's Defence Force (TPDF) has an army of 42,000 and an air force of 800. Tanzania is involved in peacekeeping operations on the continent and has a strong record of democracy and stability.
My take: Hivi Makabila yote na Mikoa yote ikija juu patakalika: Population: 60,000,0000
Na ameshajaa kwenye fremu .She has to outsmart the system,Jamaa wanamtengenezea ajali.
We unadhani wamempa kitu gani hadi hasikii ndugu zanguWaarabu wamekwisha mmaliza huyo Bi Kidude, wala hasikii
Hiki kiburi cha uzima kinakutoeni akili kabisa mnaona kama mttatwala milele.Watapigwa hao mpaka wakimbilie kwa ndugu zao Kenya huko
Petro DollarsWe unadhani wamempa kitu gani hadi hasikii ndugu zangu
Endelea kuota ndoto za mchana angalia usije ukakojoa kwenye kochi hapo sebuleni kwa shemeji.Watapigwa hao mpaka wakimbilie kwa ndugu zao Kenya huko
Kwani mna la kufanya?Bi kidude anajifungia na mkwe wanaamua kufuta asili ya ndugu zetu kweli ?