MAMBO YANAZIDI KUCHANGAMKA: Wananchi wa Ngorongoro watoa ONYO kali kwa serikali

MAMBO YANAZIDI KUCHANGAMKA: Wananchi wa Ngorongoro watoa ONYO kali kwa serikali

Tunawaunga mkono jamii ya wamasai wao ni ndugu zetu na tunalaani na kukemea madalali waliochukua kishika uchumba kwa waarabu kupitia kigenge cha wahuni serikalini.

Hii nchi ni yetu sote.
Ngorongoro ni ya wamasai na wamasai ni ngorongoro hakuna wakubadilisha.

Waliokula fedha za waarabu watazitapika na kuzicheua.
 
As of 2018, Tanzania had 28,000 people in its armed forces, which is a slight decrease from 35,400 in 2000. In 2020, the military size remained at 28,000. The Tanzania People's Defence Force (TPDF) has an army of 42,000 and an air force of 800. Tanzania is involved in peacekeeping operations on the continent and has a strong record of democracy and stability.

My take: Hivi Makabila yote na Mikoa yote ikija juu patakalika: Population: 60,000,0000
Armed forces have never stood chances to overwhelm the angry mass.Never!
 
Back
Top Bottom