MAMBO YANAZIDI KUCHANGAMKA: Wananchi wa Ngorongoro watoa ONYO kali kwa serikali

MAMBO YANAZIDI KUCHANGAMKA: Wananchi wa Ngorongoro watoa ONYO kali kwa serikali

Wananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.

Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.

Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.

Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.

Busara itumike.

Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
Changamoto kubwa ni watumishi wa Uma kuchukua maamuzi bila kushirikisha ipasavyo wananchi.
Maana halisi ya kupigania Uhuru ni tofauti na serikali inavyofanya nyakati hizi.
Ni lazima ijulikane kwamba Dola ni wananchi na vyombo vyake mali yao, serikali imepewa dhamana ya kuvisimamia kwa muda tu.
Serikali hupita lakini dola hudumu.
 
Wananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.

Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.

Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.

Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.

Busara itumike.

Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
Huu ni unyama mkubwa unaofanywa na wazanzibari chini ya CCM tuwakatae kwa nguvu zetu zote.
 
Hapa hakuna habari ya uzanzibari na utanganyika, serikalini watanganyika ni wengi.
Ujinga usifichwe kwenye kichaka cha uzanzibari.
Tumeona kila mzanzibari akiwa rais mbuga zetu zinauzwa hovyo. Ilikuwa Loliondo sasa ni Ngorongoro pengine baadaye itakuwa Kilimanjaro. Ni wazanzibari wasio na uchungu na Tanganyika.
 
Wananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.

Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.

Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.

Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.

Busara itumike.

Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
Hilo onyo kali ni lipo,au kusema tunatoa onyo kali tayari linakua onyo kali?
 
Wananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.

Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.

Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.

Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.

Busara itumike.

Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
Serikali ya CCM kwa sasa haina mpango na wananchi wake bali inaangalia zaidi maokoto.
 
Wana Ngorongoro wanastahili kuheshimiwa utu wao kwenye ardhi yao wa asili. Sehemu aliyozaliwa binadamu mababu na mababu na wana mila na utamaduni wao kwenye sehemu husika ni kuwanyima haki kuhamisha kwa nguvu.
 
Tumeona kila mzanzibari akiwa rais mbuga zetu zinauzwa hovyo. Ilikuwa Loliondo sasa ni Ngorongoro pengine baadaye itakuwa Kilimanjaro. Ni wazanzibari wasio na uchungu na Tanganyika.
Wapo viongozi wa vijiji, kata, tarafa, mkuu wa wilaya na team yake, vivyo hivyo mkoa, waziri na team yake, waziri mkuu na makamu wa Rais.
Wote hao ni wazanzibari? au wanaswagwa tu kama wanyama?
Lawama lazima zielekezwe kwa wote hao, vinginevyo kuna fikra mfu zisizoweza kufanya badiliko lolote chanya.
Yawezekana hata Rais hushangaa na kusikitika baada ya wajanja kupita humohumo kujinufaisha.
 
Wapo viongozi wa vijiji, kata, tarafa, mkuu wa wilaya na team yake, vivyo hivyo mkoa, waziri na team yake, waziri mkuu na makamu wa Rais.
Wote hao ni wazanzibari? au wanaswagwa tu kama wanyama?
Lawama lazima zielekezwe kwa wote hao, vinginevyo kuna fikra mfu zisizoweza kufanya badiliko lolote chanya.
Yawezekana hata Rais hushangaa na kusikitika baada ya wajanja kupita humohumo kujinufaisha.
Samia akisema Ngorongoro ipewe Mwarabu nani anayeipenda kazi yake anaweza kusema vinginevyo?
 
Wananchi wa Ngorongoro ambao tuliambiwa wamekubali kuama kwa hiari leo hii wametoa onyo kali kwa serikali. Hii ni baada ya serikali kutuma kikosi cha FFU na polisi kwenda kuzima maandamano yao ya kudai haki yao ya ardhi.

Pia ikimbukwe kuwa serikali baada ya kuona wakazi wa Ngorongoro hawataki kuama, imelazimika kufunga huduma nyingi za kijamii.

Nami nitoe tahadhari tu kwa serikali kuwa, kila jambo la maendeleo lazima lianze kwa kumuangalia mwananchi (well being). Huo ndiyo ubinadamu (utu au humanity). Kufunga huduma za kijamii ni hatua mbaya ambayo serikali yoyote ile inaweza kuchukua dhidi ya wananchi wake.

Jamii ya kimasai ni jamii ambayo bado ina social structure yenye nguvu sana na ujasili wa hali ya juu.
Hapa watu wakishupaza shingo, soon damu itamwagika kama mwaka jana tena.

Busara itumike.

Mwananchi kwanza, mengine baadaye.
Najaribu kuwaza jamaa wanavyojua kucheza na zile fimbo zao 😂😂😂 wakiamua kuliamsha dude hao askari lazma wasemee 😂
 
Back
Top Bottom