Mamlaka husika mchukulieni hatua huyu mzungu amewatukana dada zetu wa Kitanzania na Watanzania kwa ujumla

Nataka nielewe...

"sasa serikali inaamia dodoma - hata mabalozi!?"

"Wametaka wenyewe - mafukara kwa sababu ya CCM"

"Tanzania ni nchi Tajiri sana ina madini adimu sana duniani - Mzungu kuwa masikini G20"
 
Duh! I wish siku moja nikuone nikuhug tu, unaonesha unapitia maisha magumu sana maskini, unachuki kali sana juu ya vijana walokuzidi maisha,
Ila nakuombea na wewe siku moja utakuja kula keki ya taifa 😄😄😄
Boss wangu mie unavyonukia vizuri nahisi hataoga mwaka mzima🙊
 
Wazungu wa kweli waliisha mwaka 2010, sasa hivi kila mtu tapeli
 
😿😿😿
 
Nitaupitia badae huu uzi naomba mnipe like ili usipotee

Nataka nichukue somo la kwenda kufundishia kanisan maana naona comment za wadau zimeshiba

Lakin na mimi nitachangia juzi nilikutana na dada mmoja nikamuomba namba, akanipa baada ya nusu mara naona msg yake kaka naomba nisaidie elf kumi, aisee nilishangaa sana kwakweli, hajui hata nimemuomba namba kwa sababu ipi, tiari mda huo huo nishaombwa elf kumi

Dada zetu wapunguze njaa kwa kweli
 
Haya yote aliyoyaongea ni ukweli mtupu.
 
Tatizo watu wengi hatupendi kuambiwa ukweli, alichoongea huyo mzungu kina asilimia kubwa ya ukweli Culture Me
 
Juzi tu nmetoka kutongoza mrembo insta.

Hata hatujaonana keshokutwa yake ananiomba laki moja eti akahemee ndani ameishiwa kila kitu.

Hivi nyinyi wanawake mbona majinga sana?
Half wanamtukana mzungu wa watu, huyo mzungu kaongea ukweli Teslarati
 
Juzi tu nmetoka kutongoza mrembo insta.

Hata hatujaonana keshokutwa yake ananiomba laki moja eti akahemee ndani ameishiwa kila kitu.

Hivi nyinyi wanawake mbona majinga sana?
Eeeh laki hapana si bora ukanunue mbususu.
 
Kwan ulimuomba namba kwa lengo gan😊?
 
Bora aseme tu anauza.
 
Kama hao wanawake walifanya hayo huyo mzungu ana kosa gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…