Mamlaka husika zimzuie Rais Samia: Nchi yetu inaelekea wapi?

Mchawi wa kutokea kwa madhila yote haya ni Katiba Mbovu tuliyonayo.
Wananchi wa Tz kamwe hawataweza kupata utulivu wa mwili na akili hadi hapo wao wenyewe kwa wingi wao watakapoamua kujitungia Katiba yao itakayotokana na fikra na mawazo yao wao wenyewe.
 

1. Nyerere hakujua wahuni hawakuwa watu wazuri.

2. Mama Mgaya alikuwa kaishi miaka 100+ pamoja na suluba zote za maisha alizopitia.

3. Kumbuka alisema angemwona hadi rais wetu wa 5 labda agongwe na lori.

4. Akidhani angekuwapo, hivyo hakuna asingeweza kutommudu.

5. Akiwapo haipo shaka si msoga, jiwe au chura kiziwi wangetia timu magogoni.

6. Ama kweli wahuni si watu wazuri!
 

Hakuna mamlaka ya kumzuia zaidi yetu sisi wenyewe.

Tatizo ni kuwa tunapenda mno kuvuna tusipopanda, hivyo tungependa wawepo wa kutukombolea nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…