Mamlaka ya Chakula tunaomba ufafanuzi kuhusu cerelac za watoto

Mamlaka ya Chakula tunaomba ufafanuzi kuhusu cerelac za watoto

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
27,031
Reaction score
49,928
Nimesoma kwenye taarifa za kimataifa nchi nyingi zikilalamikia kampuni ya nestle inayozalisha maziwa ya watoto Nido na cerelac kwamba celerac inayouzwa India na Afrika wameweka sukari nyingi Sana ambayo sio sawa kwa vichanga.

Sijajua hizo products ndo zilizopo pia Tanzania au hizi zilizoingia wameshazihakiki ziko safe.
Basi naomba mamlaka ya chakula utupe ufafanuzi ili tuelewe.

Maana tumeona juzi dawa za watoto za kampuni ya Johnson zilikuwa na changamoto
 
Tanzania na Afrika kwa ujumla ni Jalala kuu la kutupa takataka kutoka katika nchi zilizoendelea.

Watanzania na wa-Africa kwa ujumla ni kama vile wamegeuzwa kuwa wanyama wa kufanyia majaribio ya bidhaa za vyakula, madawa na vipodozi vinavyotengenezwa viwandani ktk nchi zilizopo nje ya bara hili la Afrika.
 
Nimesoma kwenye taarifa za kimataifa nchi nyingi zikilalamikia kampuni ya nestle inayozalisha maziwa ya watoto Nido na cerelac kwamba celerac inayouzwa India na Afrika wameweka sukari nyingi Sana ambayo sio sawa kwa vichanga.

Sijajua hizo products ndo zilizopo pia Tanzania au hizi zilizoingia wameshazihakiki ziko safe.
Basi naomba mamlaka ya chakula utupe ufafanuzi ili tuelewe.

Maana tumeona juzi dawa za watoto za kampuni ya Johnson zilikuwa na changamoto
 
Back
Top Bottom