Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,757
- 11,922
Wakati sasa hivi nimeanza kusoma text zake kwa herufi kubwa. Nimefuata ushauri wako🤣🤣🤣🤣Wifi yangu tajiri 😍😍😍
Mzalie kaka yangu sasa ili niwe nakuja kudokoa cerelac ya auntiii yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati sasa hivi nimeanza kusoma text zake kwa herufi kubwa. Nimefuata ushauri wako🤣🤣🤣🤣Wifi yangu tajiri 😍😍😍
Mzalie kaka yangu sasa ili niwe nakuja kudokoa cerelac ya auntiii yangu
Huku kwetu labda walete yasiyo na sukariNimesoma kwenye taarifa za kimataifa nchi nyingi zikilalamikia kampuni ya nestle inayozalisha maziwa ya watoto Nido na cerelac kwamba celerac inayouzwa India na Afrika wameweka sukari nyingi Sana ambayo sio sawa kwa vichanga.
Sijajua hizo products ndo zilizopo pia Tanzania au hizi zilizoingia wameshazihakiki ziko safe.
Basi naomba mamlaka ya chakula utupe ufafanuzi ili tuelewe.
Maana tumeona juzi dawa za watoto za kampuni ya Johnson zilikuwa na changamoto
🤣🤣🤣🤣 Safi sana, endelea kusoma kwa herufi kubwa na usiisome kwa sauti yake utajichanganya..!!Wakati sasa hivi nimeanza kusoma text zake kwa herufi kubwa. Nimefuata ushauri wako🤣🤣🤣🤣
Kumbe tupo wengiUmenikumbusha nikajinunulie Cerelac