Yaani π€£π€£π€£Unaweza ukammalizia mtoto yote kwa kuonjaonja
Unajikuta mtoto kashiba umalizie wewe. Cerelac hua ni tamu sanaπUnaweza ukammalizia mtoto yote kwa kuonjaonja
Mkuu hayajakukuta! Usiombe upatwe na hilo! Hawapendi ila hakuna namna!Kwani lazima mtoto atumie hayo?
Wifi yangu tajiri πππHilo limepita, usijali kabisaππ€£
Source ya habari yako mkuu?
Hongera kwa kupata mtoto.
Bongo vitu vingi vinaingia fake, na kuna Hennessy fake hizo ukinywa unamkabidhi wallet mchepuko bila kuombwa π€£π€£π€£Halafu kuna yale lactogen, unaambiwa hii ya kenya na hii ya south africa.. bei zake ni tofauti mpaka unajiambia kuna jambo haliko sawa. Hii utakuta ni 30k hii ni 17k sijui.
Zile huwa zinanipa walakini.
Ndio maana sigongi hivyo vitu ππ€£π€£Bongo vitu vingi vinaingia fake, na kuna Hennessy fake hizo ukinywa unamkabidhi wallet mchepuko bila kuombwa π€£π€£π€£
Watakukamata tu, wananyunyuzia kwenye upandaji wa mmea wa Bob shauri yako πππNdi
Ndio maana sigongi hivyo vitu ππ€£π€£
Ngoja nianze dozi waniimbie kimbaombao kanenepa Kawa tukunyamaπInanenepesha.ni dawa kwa vimbao mbao au wagonjwa wenye kutaka mwili
Ha ha ha haBongo vitu vingi vinaingia fake, na kuna Hennessy fake hizo ukinywa unamkabidhi wallet mchepuko bila kuombwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukinywa mwanamke huombi hela π€£π€£π€£Ha ha ha ha
Utaombaje na mzee akinywa hiyo anakukabidhi mwenyewe ulipie billUkinywa mwanamke huombi hela [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe kumbe umenielewa vizuri π€£π€£π€£Utaombaje na mzee akinywa hiyo anakukabidhi mwenyewe ulipie bill
Hapa nilipo nakula kitu huku nasikiliza ngoma za bob... Nimekosa kitu kimoja tu, angepatikana mtu wa BJ π ingependeza.Watakukamata tu, wananyunyuzia kwenye upandaji wa mmea wa Bob shauri yako πππ
Hawatakujibu kamwe.Nimesoma kwenye taarifa za kimataifa nchi nyingi zikilalamikia kampuni ya nestle inayozalisha maziwa ya watoto Nido na cerelac kwamba celerac inayouzwa India na Afrika wameweka sukari nyingi Sana ambayo sio sawa kwa vichanga.
Sijajua hizo products ndo zilizopo pia Tanzania au hizi zilizoingia wameshazihakiki ziko safe.
Basi naomba mamlaka ya chakula utupe ufafanuzi ili tuelewe.
Maana tumeona juzi dawa za watoto za kampuni ya Johnson zilikuwa na changamoto