Mamlaka ya Chakula tunaomba ufafanuzi kuhusu cerelac za watoto

Wifi yangu tajiri 😍😍😍
Mzalie kaka yangu sasa ili niwe nakuja kudokoa cerelac ya auntiii yangu
Wakati sasa hivi nimeanza kusoma text zake kwa herufi kubwa. Nimefuata ushauri wako🀣🀣🀣🀣
 
Huku kwetu labda walete yasiyo na sukari
 
Wakati sasa hivi nimeanza kusoma text zake kwa herufi kubwa. Nimefuata ushauri wako🀣🀣🀣🀣
🀣🀣🀣🀣 Safi sana, endelea kusoma kwa herufi kubwa na usiisome kwa sauti yake utajichanganya..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…