Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Nashukuru hujanifananisha naye maana kuna jamaa hapa huwa wanasema ndio mimi, dah!Kwa kweli, kama Salama Ngale yule duh.
Salama anajua ila ana mahaba na upande, huwa sivutiwi na uchambuzi wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru hujanifananisha naye maana kuna jamaa hapa huwa wanasema ndio mimi, dah!Kwa kweli, kama Salama Ngale yule duh.
Basi ngoja nikupigie pande uwe unachambua na wewe pale azam tvNashukuru hujanifananisha naye maana kuna jamaa hapa huwa wanasema ndio mimi, dah!
Salama anajua ila ana mahaba na upande, huwa sivutiwi na uchambuzi wake.
Yule Kolo nini?Nashukuru hujanifananisha naye maana kuna jamaa hapa huwa wanasema ndio mimi, dah!
Salama anajua ila ana mahaba na upande, huwa sivutiwi na uchambuzi wake.
Manjesta buana.Hao nyumbu ni maiti naomba Kwa mungu waendelee kuteseka milele
Man U iliteseka pia wakati Liverpool ipo kwenye prime unachukia back to back makombe miaka ya 1986 - 1990 huko.Nyie livakuku hakika mpeteseka sana enzi za fagie time ilikua ninadra enz zile kumkuta shabik waliva kijana bora saiv mpate raha nanyie
Huyo ni salama ngare mkuu.Kwa kweli, kama Salama Ngale yule duh.
Njoo hapa BIBISI SWAHILI tuchambue soka, tulikuwa tunamtafuta mchambuzi wa kike.Nashukuru hujanifananisha naye maana kuna jamaa hapa huwa wanasema ndio mimi, dah!
Salama anajua ila ana mahaba na upande, huwa sivutiwi na uchambuzi wake.
Ikishuka daraja Ferg akiwa bado hai itapendeza sana.Wakishuka daraja itapendeza sana,maana wana makelele sana
Tangu Howard Webb astaafu ureferee Man U kwisha kazi. Yule refa alijua kuwabeba mno, ukichanganya na kutokuwepo na VAR timu pinzani zilinyanyasika vilivyo. Tuishi kwa haki karma ipo.Manjesta buana.
Basi ngoja nikupigie pande uwe unachambua na wewe pale azam tv
Siwezi hata, nina aibu mno kuongea mbele ya watu wengi siwezi.Njoo hapa BIBISI SWAHILI tuchambue soka, tulikuwa tunamtafuta mchambuzi wa kike.
Kwa kiasi kikubwa huwa naona hivyo Mkuu.Yule Kolo nini?
Utapigwa brush hapo mwezi tayari u aingia studio kichambua....Siwezi hata, nina aibu mno kuongea mbele ya watu wengi siwezi.
Nilishasema angekuwa (Salama) ndio mimi angeringa sana.Huyo ni salama ngare mkuu.