😀😀😀We nimwanaume vua hio hijabu uliovaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀We nimwanaume vua hio hijabu uliovaa
Sawa mkuu, tutakutana.Mimi nawaombea sana msishuke, sitoweza kumtuliza Mdakuzi atakuwa kwenye wakati mgumu mno.
Pambaneni tu wanetu.
Nyie wote ni wakimbiziHa haaa.
Nampa pole Mdakuzi sie
Liverpool tunajipigia tu makolobwanji wote.
Huku Yanga kule Liverpool raha tupu mwendo wa 5G.
Sijui kwanini Mimi na Mhandisi Hersi Saidii wote tunashabikia timu mbili zinazo fanana!?
Well, unavyoona ni wepi wanaofaa kubaki hapo United?Sawa mkuu, tutakutana.
Ila sikatai United tunatia aibu aibu aibu, michezaji imeridhika na mishahara mikubwa, mibishoo inajiona wakubwa wa timu.
Tunafukuza wote hao
I said this one and a half years ago, and I will continue to say it: The problem is not the coaches.Wameshaanza kumgomea na huyu tena? Si walisema tatizo ni Rashford?
Cr7 huyo, amekuwa akisema hilo mara nyingi.I said this one and a half years ago, and I will continue to say it: The problem is not the coaches.
"It's like an aquarium. If you have the fish inside and he's sick and you take him out and you fix the problem and you put him again in an aquarium they will be sick again.
"The problem of Manchester United is the same. The problem is not always the coach. It's much more than that.
"If I will be the owner of the club, I will make things clear and adjust what I think is bad there."
Inafahanika, mainoo, Amad na mmoja tu. Wengine ishasemwa hawatakiwi.Well, unavyoona ni wepi wanaofaa kubaki hapo United?
Mkuu wanaifit system ya amorimWell, unavyoona ni wepi wanaofaa kubaki hapo United?
Inafahanika, mainoo, Amad na mmoja tu. Wengine ishasemwa hawatakiwi.
Kwa sasa urgate naye anabaki
Ila United imeisha aisee, kama wachezaji wakutegemewa ndio hao akina Mainoo na Amad ambao hata sio World Class ni hatari!Mkuu wanaifit system ya amorim
1. Hojlund
2. Amad
3. Ugarte
4.maino
5.yoro
6.martinez
7.mazrou
8 delight kidoogo
9. Onana kidoogo
The rest hawafiti kbsaa ni wachezaji wa direct football, mfumo wa amorim unahitaji watu wa kukimbia snaa kwenda mbele na once ukipoteza moira rudi haraka , nikupe mfano , watu wanasema bruno ni no 10 mzuri , ila kiukweli sio mzuri kwasbsabu yeye hajui kukaa na mpira , aina ya no 10 wanaohitajika ni kam yule wirtz wa leverkuzen, watu wanaojua kukaa na mali, si unaona hata odergaad alivyo mzuri sana.
Hao ndio inabidi tuwakuze mana bado watoto, yule fala ten hag, alituuzia vitoto vzuri na kutuletea ex players wake, sasa na yeye kashindwa kuwatumia, kwanini tusifeli?Ila United imeisha aisee, kama wachezaji wakutegemewa ndio hao akina Mainoo na Amad ambao hata sio World Class ni hatari!
Ila Amad amenikosha mechi kama 3 zilizopita, dogo anakuja vizuri.
Ten Hag mlimvumilia sana, mlipa imani kubwa ambayo aliishia kuwaangusha.Hao ndio inabidi tuwakuze mana bado watoto, yule fala ten hag, alituuzia vitoto vzuri na kutuletea ex players wake, sasa na yeye kashindwa kuwatumia, kwanini tusifeli?
Amorim ilikuwa aende liver au city, utasemaje kocha mbaya wakati now style of playing inaonekana, tuna useles players weng, na ukija ffp ndio kabsaa tunavurugika.
Bruno namba 10 ?Mkuu wanaifit system ya amorim
1. Hojlund
2. Amad
3. Ugarte
4.maino
5.yoro
6.martinez
7.mazrou
8 delight kidoogo
9. Onana kidoogo
The rest hawafiti kbsaa ni wachezaji wa direct football, mfumo wa amorim unahitaji watu wa kukimbia snaa kwenda mbele na once ukipoteza moira rudi haraka , nikupe mfano , watu wanasema bruno ni no 10 mzuri , ila kiukweli sio mzuri kwasbsabu yeye hajui kukaa na mpira , aina ya no 10 wanaohitajika ni kam yule wirtz wa leverkuzen, watu wanaojua kukaa na mali, si unaona hata odergaad alivyo mzuri sana.
Waandishi wanamchokoza tu ndio maana anawajibu namna hio.Ten Hag mlimvumilia sana, mlipa imani kubwa ambayo aliishia kuwaangusha.
Amorim ni kocha mzuri, tumpe muda ila aache maneno maneno na yeye anaongea sana kwenye press.
Bruno namba 10 ?
Kama ni makocha mshabadili sana, wachezaji wa maana mmesajili ila hamponi. Nendeni championship mkarefresh akili.Ukizitaja hizo nyakati ndiyo unaleta maumivu halisi ya wakati huu mbaya. Hadi haijulikani ni nini kifanyike kuokoa timu pale ilipo.
Ova
Kwa iyo Webb alikua anachezesha game za united tu zote 36 za msimuTangu Howard Webb astaafu ureferee Man U kwisha kazi. Yule refa alijua kuwabeba mno, ukichanganya na kutokuwepo na VAR timu pinzani zilinyanyasika vilivyo. Tuishi kwa haki karma ipo.