Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Nacheka lakini naogopa, huyu dogo msomali huwa anatunyanyasa sana hata sisi Arsenal.
Yani ni kama ana mbinu zake ambazo zimetushinda, kila tukikutana lazima atunyanyase.
Hata De Bruyne pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nacheka lakini naogopa, huyu dogo msomali huwa anatunyanyasa sana hata sisi Arsenal.
Sio kikombe changu Mkuu, siwezi.Utapigwa brush hapo mwezi tayari u aingia studio kichambua....
Ukizitaja hizo nyakati ndiyo unaleta maumivu halisi ya wakati huu mbaya. Hadi haijulikani ni nini kifanyike kuokoa timu pale ilipo.Mashetani mlitusumbua sana, kuna msimu hamkubakiza kitu mkachukua makombe yote utadhani wengine hawana miguu. Afadhali nanyi pia mtangulie kulala....YNWA.
Nakumbuka ile Arsenal kuvunjiwa unbeaten mechi iliharibiwa makusudi umbwa wale.Tangu Howard Webb astaafu ureferee Man U kwisha kazi. Yule refa alijua kuwabeba mno, ukichanganya na kutokuwepo na VAR timu pinzani zilinyanyasika vilivyo. Tuishi kwa haki karma ipo.
Ronaldo alishawaambia ni nini cha kufanya b… na akasema kabisa tatizo sio kocha.Ukizitaja hizo nyakati ndiyo unaleta maumivu halisi ya wakati huu mbaya. Hadi haijulikani ni nini kifanyike kuokoa timu pale ilipo.
Ova
Ni kweli kabisa, Yanga alikubali kufungwa 2-1 na Kolo FC. Sahau Kambi alimrushia Makelele mpira miguuni, dah.Ni vitu vya kawaida katika mpira ata Simba Ilinusurika miaka mitatu mfulululizo kushuka Daraja 1987,1988 1989, kama si Yanga na Serikali kuingilia kati Simba ingekua ni sehemu ya kumbukumbu tu ya mpira wetu kama ilivyo Tumbaku, Cosmo, Red star, n.k
Bahati mbaya awa wameshuka na kupotea kwakua hawakua na Baba wa kuwashika mkono.
Kunusurika mara tatu mfulululizo si jambo la kawaida juhudi kubwa Sana zilifanyika kufikia Yanga kukubali kumwachia coast Ubingwa ni kama kutoa Figo kwaajili ya umpendae.
Bahati mbaya Kuna wapuuzi wameingia juzi kwenye mpira Wana dharau na matusi bila kujua historia ya hivi vilabu.
Fatuma Said Ally ( waziri wa utamaduni na michezo)
Said El maamly(Mwenyekiti wa FAT) walikua na wakati mgumu pia ili Simba ibaki Ligi kuu.
Said Elmaamly mwen
Hatari sana kwa Goonerz.Nacheka lakini naogopa, huyu dogo msomali huwa anatunyanyasa sana hata sisi Arsenal.
Yani ni kama ana mbinu zake ambazo zimetushinda, kila tukikutana lazima atunyanyase.
Hata De Bruyne pia.
Mambo ya Arsenal hapa ya nini Mkuu? Jadili alichokileta mwenzio.Wana arsenal mna shida gani, hamna Uefa mnazidiwa na notinghamforest, mwska wangap huu hamna kombe, mpira mzuuri usio na output 😅
Wameshaanza kumgomea na huyu tena? Si walisema tatizo ni Rashford?Wapenzi wa man utd sasa ni kutafuta hobby nyingine tuu.
Ila wachezaji hawamtaki kocha sio kwa u hezaji ule wa jana
Maajabu makubwa kabisa.Mambo ya Arsenal hapa ya nini Mkuu? Jadili alichokileta mwenzio.
Mko hatarini kushuka daraja nguvu ya kuwacheka wengine unaipata wapi?
United ni icon ya uingeleza na liverpool, unadhani inawezekana? 😀Mambo ya Arsenal hapa ya nini Mkuu? Jadili alichokileta mwenzio.
Mko hatarini kushuka daraja nguvu ya kuwacheka wengine unaipata wapi?
Hawawezi kugoma, now boss kasema tunaenda kwa system hii hii, asie fit kwenye mfumo wa ppbf anaondoka, na ukiangalia united haina hao wachezaji wa possession based footaball , wengi ni direct football,Wameshaanza kumgomea na huyu tena? Si walisema tatizo ni Rashford?
Hatusemi ndio mnashuka, hapana. Man United kutoka kuwa title contender hadi kupambania kutoka kwenye nafasi mbovu za kushuka daraja inashtua na kuhuzunisha.United ni icon ya uingeleza na liverpool, unadhani inawezekana? 😀
Wala hatuko hatarini subir mkuu.
Tunarudi palepale, mngemuacha RVN amalizie huu msimu kisha ndipo aje huyo na hiyo mifumo yake aanze nayo.Hawawezi kugoma, now boss kasema tunaenda kwa system hii hii, asie fit kwenye mfumo wa ppbf anaondoka, na ukiangalia united haina hao wachezaji wa possession based footaball , wengi ni direct football,
Hata kipind kile fergi alianza kutumia academy players 😀😀
Uongozi + players wasio fit ndio wametufikisha.Hatusemi ndio mnashuka, hapana. Man United kutoka kuwa title contender hadi kupambania kutoka kwenye nafasi mbovu za kushuka daraja inashtua na kuhuzunisha.
Mimi nawaombea sana msishuke, sitoweza kumtuliza Mdakuzi atakuwa kwenye wakati mgumu mno.Uongozi + players wasio fit ndio wametufikisha.
Laiti ineos wangemwondoa ten hag kipind kile baada ya kuchukua fa, then amorim akawepo , tusingekuwa hapa, technical director alituzingua sana.