Manabii wamekuwa wengi mpaka sasa inakera

Manabii wamekuwa wengi mpaka sasa inakera

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Manabii wamekuwa wengi mpaka unajiuliza Mungu gani uyu ambaye anaonyesha manabii wake habari tofauti tofauti.

Mara uyu anakuja na ili. Uyu naye anakuja na ili tofauti na la yule wakwanza God , GOD, GOD, GOD.

Na wakibahatisha jambo fulani tu ndo kwisha habari zenu

Kuna mmoja uko youtube anajiita nabii aliyetabiri kifo cha magufuli ili kuteka akili za watu fulani 😂🤪😝

Ufupi ni kuwa mambo ya Mungu ukiyavaa pasipo kutumia akili kwisha habari zako huna lako tena apo.

Watu wengi wanatumia hisia kuliko akili kwenye mambo ya maana hasa ya Mungu

One day nishawahi kusoma kitabu fulani kinaitwa The jews peoples katika kitabu icho kuna vers fulani inasema

The Jews' argument about God is the source of their success

Kwa hiyo wayahudi walikuwa watu ambao walikuwa hawakubali kitu kwa urahisi mpaka wahoji waulize kwa undani zaidi wakiona hawakuelewi wanafanya kile kile ulichokikataza ili waone what will happen wakiona ndo wanaelewa

Mkristo gani wa Leo ambaye anaweza kufanya hivyo

Msiwe watu wa kuamini vitu kwa urahisi
 
Manabii wamekuwa wengi mpaka unajiuliza Mungu gani uyu ambaye anaonyesha manabii wake habari tofauti tofauti
Mara uyu anakuja na ili
Uyu naye anakuja na ili tofauti na la yule wakwanza God ,GOD,GOD,GOD
Na wakibahatisha jambo fulani tu ndo kwisha habari zenu
Kuna mmoja uko youtube anajiita nabii aliyetabiri kifo cha magufuli ili kuteka akili za watu fulani 😂🤪😝
Ufupi ni kuwa mambo ya Mungu ukiyavaa pasipo kutumia akili kwisha habari zako huna lako tena apo
Watu wengi wanatumia hisia kuliko akili kwenye mambo ya maana hasa ya Mungu
One day nishawahi kusoma kitabu fulani kinaitwa The jews peoples katika kitabu icho kuna vers fulani inasema
The Jews' argument about God is the source of their success
Kwa hiyo wayahudi walikuwa watu ambao walikuwa hawakubali kitu kwa urahisi mpaka wahoji waulize kwa undani zaidi wakiona hawakuelewi wanafanya kile kile ulichokikataza ili waone what will happen wakiona ndo wanaelewa
mkristo gani wa Leo ambaye anaweza kufanya ivo
Msiwe watu wa kuamini vitu kwa urahisi
Ilishatabiriwa mkuu.
 
Wakubwa zao Musa, Mwamposya na Suguye wanadai huwa wanaongea na hayati Kristo Kila siku sawa na Nabii Mkuu wa Arusha 😂
 
Tena wanajiita Mtume.na Nabii, zamani haikuwa hivyo. Mtume ni mtume na Nabii anabaki kuwa nabii.
 
Namshukuru Mungu kunipa macho ya kuona kweli na uongo.
Hao manabii hawana shida, shida iko kwa wateja wao
 
Waacheni wapige pesa, mnataka vibaka wawe wengi mtaani?
 
Back
Top Bottom