Manabii wanapingwa sana ila alichokifanya nabii Clear Malisa ni kitendo cha kishujaa.

N

Imejifunza na kupitiliza, najua unachodanganywa nacho, nawajua manabii fake walivyo amart umeshamalizwa tikitiki
Hivi nje ya ujio wao Tanzania ulishafuatilia mafundisho yao?.
 
Hivi nje ya ujio wao Tanzania ulishafuatilia mafundisho yao?.
Hakuna jipyq, ninajua roho iliyo nyuma yao hili latosha.
Hata shetani husema ukweli 90%

Hii 10% ndio huwa mnanaswa
 
Hakuna jipyq, ninajua roho iliyo nyuma yao hili latosha.
Hata shetani husema ukweli 90%

Hii 10% ndio huwa mnanaswa
Shetani ni Baba wa uongo atasemaje ukweli 90%?..
 
Mimi ni Christian wakristu wengi wamesoma kuliko Waislam. Lakini wakristo wengi ni wajinga kuliko waislam. Kweli anakuja binadamu mwenzio (Malisa) anakwambia amemmfufua mama yake mara tatu. Na mijinga ipo humo humo kanisani inaamini!?
Mijinga plus
 
wale ni manabii au masela wa mjini? maana hata mienendo yao inaonyesha aina ya maadili yao
 
Ulaya Makanisa yamekufa sababu ya majibu kama hayo
Watu wameacha kwenda kanisani sababu hawaoni kanisa Lina umuhimu Gani wakati halina majibu Kwa shida zao

Mengi yabauzwa hata wewe ulitaka kununua ingia mtandaoni unataka kununua jengo la wapi mji upi au Kijiji utakuta na bei wameweka
 
Mpumbavu sana wewe na huyo Malisa aliyekutuma uje kuharisha hapa JF. Umeandika utumbo mtupu.
 

Mpumbavu sana wewe na huyo Malisa aliyekutuma uje kuharisha hapa JF. Umeandika utumbo mtupu.
Sijatumwa na mtu yeyote trust me. Nitukane Mimi peke yangu.
 
Umesema yote kaka hujabakiza, wanaojiita manabii waleo wengi ni watoa neno maarifa
 
Bongo kumekuwa kama Yerusalemu hasaivi manabii wanashuka kila uchwao.
Kwa hiyo mkuu punde tutakua na hekau tuwaalike wayudi watemane na yerusalem yao wawaachie wapalestina na hamasi yao wajimwae mwae.kweli hii kali na kiboko yake ila na wapestina nao wakitaka bongo iwe pia yerusalemu yao ya msikiti wa al aqsa itakuaje
 
Umesema yote kaka hujabakiza, wanaojiita manabii waleo wengi ni watoa neno maarifa
Biblia ngumu sana na watu ni wavivu na wamejaa tamaa za mafanikio, huko ndiko wanapigwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…