Manabii wanapingwa sana ila alichokifanya nabii Clear Malisa ni kitendo cha kishujaa.

Manabii wanapingwa sana ila alichokifanya nabii Clear Malisa ni kitendo cha kishujaa.

N

Imejifunza na kupitiliza, najua unachodanganywa nacho, nawajua manabii fake walivyo amart umeshamalizwa tikitiki
Hivi nje ya ujio wao Tanzania ulishafuatilia mafundisho yao?.
 
Hivi nje ya ujio wao Tanzania ulishafuatilia mafundisho yao?.
Hakuna jipyq, ninajua roho iliyo nyuma yao hili latosha.
Hata shetani husema ukweli 90%

Hii 10% ndio huwa mnanaswa
 
Hakuna jipyq, ninajua roho iliyo nyuma yao hili latosha.
Hata shetani husema ukweli 90%

Hii 10% ndio huwa mnanaswa
Shetani ni Baba wa uongo atasemaje ukweli 90%?..
 
Mimi ni Christian wakristu wengi wamesoma kuliko Waislam. Lakini wakristo wengi ni wajinga kuliko waislam. Kweli anakuja binadamu mwenzio (Malisa) anakwambia amemmfufua mama yake mara tatu. Na mijinga ipo humo humo kanisani inaamini!?
Mijinga plus
 
Napenda sana kufuatilia habari za kiroho hususani misimbo ya kinabii "prophetic codes". Kuna mengi tumejifunza kuwa ni magumu ila kupitia misimbo mambo huwa bayana.

Bila kuzungusha sana maelezo kilichofanyika usiku wa tarehe 8/12/2023 kwa jina "usiku wa maajabu" ni tukio la kuondoa mazoea na kuonesha uwezekano mpya wa unabii nchini "prophetic paradigm shift". Ni kama Tanzania ilikuwa inahamishwa kwenye mazowea.

Tanzania imekuwa ikisukumwa mara kadhaa kutoka kwenye mazowea na manabii wakubwa ndani ya mwaka 2023. Mwaka huu umefungwa katika namba saba (7) yaani 2+0+2+3=7 ikimaanisha pumziko, mfano ujio wa nabii Uebert Angel nchini ukiwa na mwaliko na Mtumishi Tony Kapola ulikuwa ni kiashiria cha uelekeo wa kinabii nchini.

Ujio wa manabii hawa, Passion Java na Dr. Lovy Elias Longomba ni mwendelezo wa kusafisha njia iliyokuwa na vizuizi vingi sana. Unabii ni moja ya huduma inayokutana na ukinzani mkubwa sana nchini Tanzania. Kwa utafiti mdogo tu nilioufanya katika madhehebu makubwa ya kiroho nchini, unabii haupewi nafasi yake na unaonekana kama huduma inayopoka nafasi na maslahi ya wachungaji. Kwa hifupi manabii huonekana kama wanaingilia huduma tu.

Manabii wanapitia njia ngumu ya kutoaminika na kuchafuliwa zaidi na Watumishi wenzao wa Mungu kuliko waumini wa kawaida. Kuwa na karma ya unabii inayofanya kazi katika makanisa mengi ya kiroho nchini Tanzania ni jambo linaloweza kumfanya mtu kutengwa kabisa na Uongozi wa kanisa.

Waumini wengi leo wanapingwa mambo mengi kutokana na namna walivyofundishwa neno la Mungu na wachungaji wao ila sivyo walivyojifunza au kuelewa neno la Mungu kama lilivyo Kwa kuongozwa na roho Mtakatifu. Chochote kidichowiana na walivyofundudhwa ni upotofu.

Siyo ajabu kuwakuta waumini wengi wakijadili dread locks za Passion Java na Lovy Elias kuliko kile walichojifunza na kupokea kwenye ujio huo. Suala la kujadili Kwa kina ni lengo la usiku wa maajabu ni nini? ila kutokana na kuwa wagumu "rigid" kujifunza tunaishia kukejeli badala ya kuangalia tukio lililopo mbele yetu.
wale ni manabii au masela wa mjini? maana hata mienendo yao inaonyesha aina ya maadili yao
 
Unaweza kuniambia hapa Kanisa linanisaidia vipi leo nikilala njaa?kodi yangu ya nyumba ikiisha Kanisa litanisaidiaje?

Hakuna mtatuzi wa shida za mtu zaidi ya yeye mwenyewe kujua namna ya kupambana nazo huko Kanisani ni pa kwenda kusali kuomba Mungu anionyeshe mimi muumini namna bora ya kupambana na changamoto za dunia yangu siyo kuwekewa mikono na the so called nabii kwa gharama ya 100K ndiyo changamoto ziondoke.
Ulaya Makanisa yamekufa sababu ya majibu kama hayo
Watu wameacha kwenda kanisani sababu hawaoni kanisa Lina umuhimu Gani wakati halina majibu Kwa shida zao

Mengi yabauzwa hata wewe ulitaka kununua ingia mtandaoni unataka kununua jengo la wapi mji upi au Kijiji utakuta na bei wameweka
 
Napenda sana kufuatilia habari za kiroho hususani misimbo ya kinabii "prophetic codes". Kuna mengi tumejifunza kuwa ni magumu ila kupitia misimbo mambo huwa bayana.

Bila kuzungusha sana maelezo kilichofanyika usiku wa tarehe 8/12/2023 kwa jina "usiku wa maajabu" ni tukio la kuondoa mazoea na kuonesha uwezekano mpya wa unabii nchini "prophetic paradigm shift". Ni kama Tanzania ilikuwa inahamishwa kwenye mazowea.

Tanzania imekuwa ikisukumwa mara kadhaa kutoka kwenye mazowea na manabii wakubwa ndani ya mwaka 2023. Mwaka huu umefungwa katika namba saba (7) yaani 2+0+2+3=7 ikimaanisha pumziko, mfano ujio wa nabii Uebert Angel nchini ukiwa na mwaliko na Mtumishi Tony Kapola ulikuwa ni kiashiria cha uelekeo wa kinabii nchini.

Ujio wa manabii hawa, Passion Java na Dr. Lovy Elias Longomba ni mwendelezo wa kusafisha njia iliyokuwa na vizuizi vingi sana. Unabii ni moja ya huduma inayokutana na ukinzani mkubwa sana nchini Tanzania. Kwa utafiti mdogo tu nilioufanya katika madhehebu makubwa ya kiroho nchini, unabii haupewi nafasi yake na unaonekana kama huduma inayopoka nafasi na maslahi ya wachungaji. Kwa hifupi manabii huonekana kama wanaingilia huduma tu.

Manabii wanapitia njia ngumu ya kutoaminika na kuchafuliwa zaidi na Watumishi wenzao wa Mungu kuliko waumini wa kawaida. Kuwa na karma ya unabii inayofanya kazi katika makanisa mengi ya kiroho nchini Tanzania ni jambo linaloweza kumfanya mtu kutengwa kabisa na Uongozi wa kanisa.

Waumini wengi leo wanapingwa mambo mengi kutokana na namna walivyofundishwa neno la Mungu na wachungaji wao ila sivyo walivyojifunza au kuelewa neno la Mungu kama lilivyo Kwa kuongozwa na roho Mtakatifu. Chochote kidichowiana na walivyofundudhwa ni upotofu.

Siyo ajabu kuwakuta waumini wengi wakijadili dread locks za Passion Java na Lovy Elias kuliko kile walichojifunza na kupokea kwenye ujio huo. Suala la kujadili Kwa kina ni lengo la usiku wa maajabu ni nini? ila kutokana na kuwa wagumu "rigid" kujifunza tunaishia kukejeli badala ya kuangalia tukio lililopo mbele yetu.
Mpumbavu sana wewe na huyo Malisa aliyekutuma uje kuharisha hapa JF. Umeandika utumbo mtupu.
 
Ulaya Makanisa yamekufa sababu ya majibu kama hayo
Watu wameacha kwenda kanisani sababu hawaoni kanisa Lina umuhimu Gani wakati halina majibu Kwa shida zao

Mengi yabauzwa hata wewe ulitaka kununua ingia mtandaoni unataka kununua jengo la wapi mji upi au Kijiji utakuta na bei wame

Mpumbavu sana wewe na huyo Malisa aliyekutuma uje kuharisha hapa JF. Umeandika utumbo mtupu.
Sijatumwa na mtu yeyote trust me. Nitukane Mimi peke yangu.
 
Muathirika wa mafundisho potofu huyu hapa.

Hata biblia hujui mnabugizwa matango pori tu.

Kuna tofauti kubwa ya mtu kuitwa nabii na unabii.
1. Unaweza kutoa unabii na usiwe nabii.

Rejea Sauli alipotoka kupakwa mafuta na Samweli, alipofika njiani, alikutana na wana wa manabii...akatabiri lakini hakuwa nabii.

2. Kibiblia ili uitwe nabii sio mafundisho, sio kutabiri wala sio kuponya bali ni suala la muda...utabiri mambo na yatokee..
MALISA WAKO ametabiri nini kimkoa, kitaifa au kijamii kikatukia?

3. Kuna kitu kinaitwa neno la maarifa, kinaweza kufanana na unabii lkn sio.

Hii ikoje?
Inatokea unapokuwa unahubiri au kuombea...utahisi hali ya mtu mwenye tatizo...mfano kuumwa kichwa sana upande mmoja.

Ndio maana kanisanisani utasikia mchungaji anasema...kuna mtu anaumwa na kichwa upande wa kushoto na kweli anatokea.

Huu sio unabii bali neno la maarifa.

Huwezi kunielewa ewe kipofu wa rohoni.

Mtatumikishwa na manabii fake hadi mchakae.
Note: utajiri haupatikani kwa maombi wala unabii...ingekuwa hivyo tungekuwa na mabilionea Tanzania.

binti kiziwi
Umesema yote kaka hujabakiza, wanaojiita manabii waleo wengi ni watoa neno maarifa
 
Bongo kumekuwa kama Yerusalemu hasaivi manabii wanashuka kila uchwao.
Kwa hiyo mkuu punde tutakua na hekau tuwaalike wayudi watemane na yerusalem yao wawaachie wapalestina na hamasi yao wajimwae mwae.kweli hii kali na kiboko yake ila na wapestina nao wakitaka bongo iwe pia yerusalemu yao ya msikiti wa al aqsa itakuaje
 
Umesema yote kaka hujabakiza, wanaojiita manabii waleo wengi ni watoa neno maarifa
Biblia ngumu sana na watu ni wavivu na wamejaa tamaa za mafanikio, huko ndiko wanapigwa tu
 
Back
Top Bottom