Manara: Yanga wameshamalizana na Chama, kumtangaza muda wowote kuanzia sasa

Manara: Yanga wameshamalizana na Chama, kumtangaza muda wowote kuanzia sasa

Hawa nyani hizo ndio habari wanazopenda kusikia!
Nyani fc kwa kuhadaika hawajambo...!!
Msukule baada ya kupewa za uso anatafuta pa kupoozea!
 
Kama wamemchukua chama si wamchukue tu cc wana wa msimbazi wala chsma co ndio simba pekee tunaemtegemea Simba fc itabaki kuwa simba huyo mwimba taarabu ataimba sana ni msemaji wa yanga ila kutwa kutusemea sisi wa msimbazi
 
Kuna ile laana ya UMBUMBUMBU pale kwa makolo naona inaendelea kufanya kazi kwa nguvu sana
 
Hii ni kwa mujibu wa post ya Haji Manara kupitia Instagram page yake

View attachment 2019454
Huu ndiyo mpango mzima kudadadeq
JamiiForums-1742202904.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hii ni kwa mujibu wa post ya Haji Manara kupitia Instagram page yake

View attachment 2019454

Sehemu ya kwanza kufeli Kwa Yanga ni kumsajili Baba la Utopolo, sehemu ya pili kufeli ni Kuanzisha Kesi na Mchezea mpira Morson na Kufeli kwa mara ya tatu ni Kumsajili Chama ambaye keshazeeka tayari[emoji38][emoji38][emoji38]
 
W
Yanga hakuna watu kule ni misukule,lazima wafurahie taarifa kama hizi.

Mpaka sasa wameshinda kesi ya Morrison kule CAS engineer anashughulikia nakala ngumu ya kesi!Hao ndio yanga bhana
WaMeshinda nini..? 😂😂😂😂😂 🚮🚮🚮
 
Back
Top Bottom