Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
HahahaaaKama hapa. Mazuzu watabaki kuwa Mazuzu daimaView attachment 2019953
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Ahahahahaha! Alikuwa anazungumzia kesi ya Morrison kuwa wameshindwa ila hata hawatangazi!!
SEMA MLEMAVU WA NGOZI NA AKILI AMEBWABWAJA KM KAWAIDA TAKE
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ila yule sasa HV kichaa kinazd sana!Kuna wakati mashabiki wa Yanga walikuwa wakisema kuwa Manara ni mgonjwa wa Akili halafu Simba walikuwa wakikataa, sasa kwa anachokifanya naamini kabisa.
Mkuu Sibonike tunaomba radhi kwa hilo maana tuliwakataliwa kuwa si mgonjwa wa akili.
Sana aisee[emoji3]Yanga habari kama hizi zinawafurahisha sana
Mtu wenu huyo. Tukishamtumia, anarudi kwenu maisha yaendelee!πππKuna wakati mashabiki wa Yanga walikuwa wakisema kuwa Manara ni mgonjwa wa Akili halafu Simba walikuwa wakikataa, sasa kwa anachokifanya naamini kabisa.
Mkuu Sibonike tunaomba radhi kwa hilo maana tuliwakataliwa kuwa si mgonjwa wa akili.