Atasepa kilazima tu kama mwenzie Beckham sijui stam yulerashy kagoma kusepa
huyu mwamba 😁 kuchek gemu za manchester ni furaha 🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwamba nasikia mpaka leo bado amelala kagoma kabisa kuamka. View attachment 3210094
Wewe hauko Brighton kweli wewe?Kumuuza Garnacho ni kosa, kumuuza kwenda Chelsea ni kosa la pili. Glazers, SJR & INEOS wangese sana. Ndiyo tunahitaji ku-balance vitabu ili tusajili ila tunawauzia rivals mchezaji ambaye hana shida yoyote na club au kocha na bado ana potential!
garnacho n mchezaj wa kawaidaKumuuza Garnacho ni kosa, kumuuza kwenda Chelsea ni kosa la pili. Glazers, SJR & INEOS wangese sana. Ndiyo tunahitaji ku-balance vitabu ili tusajili ila tunawauzia rivals mchezaji ambaye hana shida yoyote na club au kocha na bado ana potential!
Kumbuka bado ana miaka 20 tu na wachezaji wengi wanakuwa peak wakifika mid 20s. Salah (Chelsea), KDB (Chelsea), Fernandes (Sampdoria), Gyökeres (Brighton), hawa wote walionekana wachezaji wa kawaida kwenye hizo timu lakini wameweza kufanya makubwa kwenye career zao mpaka sasa.garnacho n mchezaj wa kawaida
😁 ila kwa garna hapanaKumbuka bado ana miaka 20 tu na wachezaji wengi wanakuwa peak wakifika mid 20s. Salah (Chelsea), KDB (Chelsea), Fernandes (Sampdoria), Gyökeres (Brighton), hawa wote walionekana wachezaji wa kawaida kwenye hizo timu lakini wameweza kufanya makubwa kwenye career zao mpaka sasa.
Garnacho ni mchezaji mzuri wa kawaidaKumuuza Garnacho ni kosa, kumuuza kwenda Chelsea ni kosa la pili. Glazers, SJR & INEOS wangese sana. Ndiyo tunahitaji ku-balance vitabu ili tusajili ila tunawauzia rivals mchezaji ambaye hana shida yoyote na club au kocha na bado ana potential!
Nashangaa jamaa sijui kaona nini kwa yule dogo maana Hana tofauti na januzajGarnacho ni mchezaji mzuri wa kawaida
Msimu huu tukaze tupite walau na europa.Top four
Kweli kabisa.Msimu huu tukaze tupite walau na europa.
GGMU