Duh nyinyi hadi kuja ilibidi tuwatag, mmefika tu mnaanza jeuri? Kweli nyumbu wana matatizo makubwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ameingia Pereira pamoja na huyo Munisi wenu haya sema Nyumbu kafa ngapi?
Punguzeni kamdomo ndugu zungu ligi ngumu hii.
Mzee baba kazi unayo.niliweka man u ashinde goli zianzie mbili 😁
Eh 😅 ni huu ushindi wa moja bila au mna hasira pia?Bado nyie kenge wa arteta tutawashenyenta.
offside imeniuaMzee baba kazi unayo.
Next time epuka kubetia timu unayoshabikia haswa ikiwa kipindi kama hichi
Matokeo ndio muhimu zaidi ya kikosi.
Amorin amewaambia kama hauna uhakika na unalofanya, ni afadhali tucheze dakika zote 90 bila shot on target hata moja. Matokeo yake tumeyaona wote humuPipi yuko wapi achana na uongo wa accuracy na nini wakati mlibanwa
Ila nyinyi mnachekesha.Ila hii timu ni mbovu kuliko ubovu wenyewe. Vitu basic kabisa uwanjani vinawashinda!
Kuna namna tumelogwa na timu zote 19 za premier league.
Sasa si Bora yeye nyie mliofungwa na wolves viwete wa ligiMmepakatwa na City iliyooza unapata wapi ujasiri wa kuleta mdomo hapa ? Uzeni yale matakataka yenu
Hapana, me niko mpaka iniue😁 si ulihama
🤣Hapana, me niko mpaka iniue
Kwa wachezaji wale hata wew lazima upanikiDORGU
Sajili za united zinafikirisha.
Nasikia Ruben kapanik club kutosajili
Ile mechi ya juzi dhidi ya Fulham ilinitafakarisha sana.Kwa wachezaji wale hata wew lazima upaniki
Vipi amesajiliwa nini?Mathys Tel,,,, !