Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Duh nyinyi hadi kuja ilibidi tuwatag, mmefika tu mnaanza jeuri? Kweli nyumbu wana matatizo makubwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ameingia Pereira pamoja na huyo Munisi wenu haya sema Nyumbu kafa ngapi?
Punguzeni kamdomo ndugu zungu ligi ngumu hii.