ETH alileta wachezaji wa Ajax na ligi ya uholanzi akawajaza manjesta,sasa hivi mnahangaika kuwaomdoa


Tapeli Amorini atajaza wachezaji wa Sporting Lisbon na WA ligi ya Ureno

Mwakani kocha mpya kutoka visiwa vya shelisheli naye atafanya hivo hivo
😃
 
Manjesta imekuwa Shamba la bibi ,kila mtu anakuja anavuna anasepa

Natamani Fred Felix minziro baba Isaya kataraiya apewe manjesta,na yeye apeleke wachezaji wa Tanzania manjesta
 
Pumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…