Manchester United (Red Devils) | Special Thread
ETH alileta wachezaji wa Ajax na ligi ya uholanzi akawajaza manjesta,sasa hivi mnahangaika kuwaomdoa


Tapeli Amorini atajaza wachezaji wa Sporting Lisbon na WA ligi ya Ureno

Mwakani kocha mpya kutoka visiwa vya shelisheli naye atafanya hivo hivo
😃
 
Manjesta imekuwa Shamba la bibi ,kila mtu anakuja anavuna anasepa

Natamani Fred Felix minziro baba Isaya kataraiya apewe manjesta,na yeye apeleke wachezaji wa Tanzania manjesta
 
20250216_142023.jpg
 
Mchambuzi nguli, na mwanazuoni wa Soka la ndani na nje ya mipaka ya Tanzania mwenye beji ya fifa ,mwenye leseni ya ukocha grade B kutoka pale karume


Natoa tamko Amorini ni tapeli na hatawafikisha popote , ni kocha asiyeweza kubadilika ,ni kocha aliyekariri mfumo mmoja tu 3-4-3

Hawezi kutoka nje ya hapo ,

Nilisema ETH ni tapeli ,ila Amorini ni Tapeli kipeuo cha pili

Takwimu zinaongea View attachment 3237486
Pumbavu
 
Back
Top Bottom