Manchester United (Red Devils) | Special Thread
😂
20241213_141146.jpg
 
Nyumbu washinde 🤝
Chelsea timu bora pale UK nayo ishinde 🤝

Na wote tuseme tawireeeee

London is 🔵
UK is 🔵
 
Lile l dalot linanikumbusha mwanangu rama chogo

Beki halina akili linakimbia na mpira likipiga sehem ya kupiga Kross liniaishiwa nguvu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Basi ndio rama chogo alivokuwa
mwana tulikuja kungundua anapiga Sana nyeto

Ningekuwa kocha jitu la kwanza kuliuza Ni hili
 
Kikosi cha watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro boys hawa hapa kwenda kuichapa ya mama cita.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁

My prediction

mama cita 1 vs Manchester united 4

tutapiga kama ngoma leo.

20241215_182200.jpg
 
Kikosi cha watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro boys hawa hapa kwenda kuichapa ya mama cita.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁

My prediction

mama cita 1 vs Manchester united 4

tutapiga kama ngoma leo.

View attachment 3177430
Inakuwaje kikosi kinavuja siku moja kabla ya mechi, hii skendo ya kuvujishwa kwa kikosi ni lazima waifanyie kazi.
Ni aibu, wengine wanasema garnacho anamtumia ndugu yake.

Wengine wanasema maguire, mount, rashford ilimradi balaa.

Hii ni post yake ya jana jioni
1734277271255.jpeg
 
Inakuwaje kikosi kinavuja siku moja kabla ya mechi, hii skendo ya kuvujishwa kwa kikosi ni lazima waifanyie kazi.
Ni aibu, wengine wanasema garnacho anamtumia ndugu yake.

Wengine wanasema maguire, mount, rashford ilimradi balaa.

Hii ni post yake ya jana jioni
View attachment 3177435
Kwahy inamaana kuwa anayepanga kikosi sio kocha?
Mbona huyo kwenye picha sio kocha wa nyumbuz
 
Back
Top Bottom