IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,362
- 6,274
Tafuteni kipa wa kueleweka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
darwin nunez futboliMme cheza mpira mbovu Sijawai Kuona.
View attachment 3176456
Jamaa amekuja kipindi kibaya sana, kila baada ya siku mbili ni mechi.
Sawa gigy moneyLeo mnakandwa nyie wahuni ubwa nyie
115 charges fc 4-1 mashetan🤣🤣🤣
Leo mnakandwa nyie wahuni ubwa nyie
115 charges fc 4-1 mashetan🤣🤣🤣united ni mbovu lakini Sio kufugwa na Yale maiti
Kipara anakufa tena pale pale kwakeLeo mnakandwa nyie wahuni ubwa nyie
115 charges fc 4-1 mashetan🤣🤣🤣
Inakuwaje kikosi kinavuja siku moja kabla ya mechi, hii skendo ya kuvujishwa kwa kikosi ni lazima waifanyie kazi.Kikosi cha watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro boys hawa hapa kwenda kuichapa ya mama cita.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁
My prediction
mama cita 1 vs Manchester united 4
tutapiga kama ngoma leo.
View attachment 3177430
Kwahy inamaana kuwa anayepanga kikosi sio kocha?Inakuwaje kikosi kinavuja siku moja kabla ya mechi, hii skendo ya kuvujishwa kwa kikosi ni lazima waifanyie kazi.
Ni aibu, wengine wanasema garnacho anamtumia ndugu yake.
Wengine wanasema maguire, mount, rashford ilimradi balaa.
Hii ni post yake ya jana jioni
View attachment 3177435