Tunahitaji watu kweli, tujikongoje hivi hivi Hadi summer tuone tutaongeza mashine za kazi ngapi, wasiwasi wangu ni je tutaleta watu sahihi?, mambo ya kupigwa tushachoka nayo, uzuri naona kocha yupo direct.
Huyu kocha anajitahid sana tatizo ni wachezaji tu, Zirkzee Jana ndio game changer, sub ya Anthony pia ilikuwa fantastic pia. Mipira mingi aliyokuwa anapewa Zirkzee ana control vizuri(Kwa suala la control huyu jamaa nampa mkono), tofauti na rasmus control chumba na sebule.
Hapa tutafute mido moja ya kazi, namba kumi ya kazi, winga moja ya shavu la kushoto ya kazi, beki ya kati moja ya kazi, namba Tisa ya kazi, hapa tunaweza tukaanza msimu Kwa matumaini.
Huyu kocha anajitahid sana tatizo ni wachezaji tu, Zirkzee Jana ndio game changer, sub ya Anthony pia ilikuwa fantastic pia. Mipira mingi aliyokuwa anapewa Zirkzee ana control vizuri(Kwa suala la control huyu jamaa nampa mkono), tofauti na rasmus control chumba na sebule.
Hapa tutafute mido moja ya kazi, namba kumi ya kazi, winga moja ya shavu la kushoto ya kazi, beki ya kati moja ya kazi, namba Tisa ya kazi, hapa tunaweza tukaanza msimu Kwa matumaini.