Mandonga atoroka Songea usiku wa manane, inadaiwa kadandia roli la sementi, tumuombee afike salama mtu kazi

Mandonga mtu kazi anamtaka mbabe, kasema hataki uchawi kwenye masumbwi!
Anataka nyama nyama, ngumi jiwe!
Kwa hyo MANDONGA anaamini alifanyiwa uchawi wakati inaonesha kabisa uwezo wake mdogo,sema Jamaa anamdomo sana asee🀣🀣🀣
 
Kwa hyo MANDONGA anaamini alifanyiwa uchawi wakati inaonesha kabisa uwezo wake mdogo,sema Jamaa anamdomo sana asee🀣🀣🀣
Mdomo umemponza! Kisaikolojia mandonga alikuwa kwenye tension kubwa zaidi yakutaka kushinda jambo lililochangia kupoteza professionalism kwa ulingo!

Ni rahisi kupigwa na mnyonge kwasababu anakuwa hana cha kupoteza hivyo anakuwa makini zaidi kiufundi!
Ndiyo maana kaoneka kampiga, kwasababu mandonga too much confidence imemuondolea umakini

Dreva leaner huwa makini kuliko dreva anaejiamini
 
ila Mandonga kaniangusha angempiga hata meno yule fala[emoji23][emoji28]
 
Mimi naomba pambano na mandonga mtu kazi.
Kweli kabisa naomba pambano,
Nia ya kumpiga ninayo na uwezo wa kumpiga ninao.
Kama yupo humu Jf naomba ajitokeze
 
Mimi naomba pambano na mandonga mtu kazi.
Kweli kabisa naomba pambano,
Nia ya kumpiga ninayo na uwezo wa kumpiga ninao.
Kama yupo humu Jf naomba ajitokeze
Au siyo
 
Apangiwe pambano lingine..alipo tupo!

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Sasa huyu akipigana na mwanangu mfaume mfaume si atampasua ubongo

Ova
 
ila mwamba namshauri asikate tamaa,ni vitu vidogo tu anatakiwa kufundishwa naamini jamaa anaweza akipata mwalimu mzuri
 
Jamaa alopigana nae anakwambia Kila alikua akikumbuka mkwara wa mandonga na vile anavyopiga miti ad inakatika anaamka kufanya mazoezi ata Kama ni sa nane usiku..😁😁😁😁
Anaamini yeye bado ni bondia hatari sana mtu kazi! Kaomba apangiwe pambano na dulla mbabe! View attachment 2309760
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…