Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mama mwenye jegeje 😂Kumbe ni mama wa kiume 🤣🤣🤣
Siku hizi nikiongopewa najifanya kama sijashtukia chochote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama mwenye jegeje 😂Kumbe ni mama wa kiume 🤣🤣🤣
Bado unayatumia usitudanganye.[emoji23][emoji23] Uongo wangu pendwa. Zamani lkn asa hivi nimekua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Out of topic: hiyo avatar yako imenifanya nione kama kioo cha simu kimepasukaBrothers niaje kaka zangu leo ngoja niwape ka challenge, ni maneno gani ukiambiwa na mwanamke unahisi ni uongo?
Kwa mfano mi demu aisee akinambia eti "upo peke yako" yaani hapo ndo nazidi kupata mashaka nahisi nasaidiwa😀😀
Au akinambia nakupenda ndiyo siaminigi kabisa.
Vipi kwa upande wako maneno gani huyaamini kutoka kwa hizi species
Ndo hivoo maisha yenyewe mshtuko tupu, ushtuliwe tena na mwanamke ...hebu tulizana hukoMama mwenye jegeje 😂
Siku hizi nikiongopewa najifanya kama sijashtukia chochote.
Vijana wa hovyo wanasema breki mbupuz 😂[emoji28][emoji28]imenikuta kwa mwanachuo mmoja eti ananambia nataka we ndio uwe mwanaume wangu wa kwanza, nikajua hapa naenda bikiri mtu. Heeee shenzi mngoni yulee
Hakuna wa kunishtua tena walishanikomaza sishtuki, wenyewe wanaonaga wameniweza kweli kweli 😂Ndo hivoo maisha yenyewe mshtuko tupu, ushtuliwe tena na mwanamke ...hebu tulizana huko
Uko wapi nije nkushtueHakuna wa kunishtua tena walishanikomaza sishtuki, wenyewe wanaonaga wameniweza kweli kweli 😂
Kumbeee
Mpo real kivipiWanawake tupo real jmn[emoji28] me binafsi nikisema kitu huwa namaanisha hata kama hutaki kuamini..
A day in life ya baharia 😁Nilikuwa na mama ndio maana sikupokea.
Nipo ulipo.Uko wapi nije nkushtue
Uliuziwa line ya mtu ukidanganywa ni mpya 😁[emoji28][emoji28]imenikuta kwa mwanachuo mmoja eti ananambia nataka we ndio uwe mwanaume wangu wa kwanza, nikajua hapa naenda bikiri mtu. Heeee shenzi mngoni yulee
Jamani babyNipo ulipo.
Sishtuki tena labda nirogwe ila sio kwa akili zangu za kawaida.
Unamsikiliza unakausha akiileta unaichapa lakini unakuwa ushamuweka kwenye kundi la viande.A day in life ya baharia 😁
unataka unishtue ili iweje mama, nishakataa kushtuka 😄Jamani baby
Kwahiyo aliniongopeaBaby una bonge la mjulus
Kuniita mama umenishtua daah hadi nimeliaunataka unishtue ili iweje mama, nishakataa kushtuka 😄
Ni FIFO tuUnamsikiliza unakausha akiileta unaichapa lakini unakuwa ushamuweka kwenye kundi la viande.
"Yule ni rafiki yangu tuu ...... sifanyi nae chochote ......",hapo jiandae kiakaili na kaa mkao wa kupigwa kibuti.Brothers niaje kaka zangu leo ngoja niwape ka challenge, ni maneno gani ukiambiwa na mwanamke unahisi ni uongo?
Kwa mfano mi demu aisee akinambia eti "upo peke yako" yaani hapo ndo nazidi kupata mashaka nahisi nasaidiwa😀😀
Au akinambia nakupenda ndiyo siaminigi kabisa.
Vipi kwa upande wako maneno gani huyaamini kutoka kwa hizi species
Ni FIFO tuUnamsikiliza unakausha akiileta unaichapa lakini unakuwa ushamuweka kwenye kundi la viande.