Maneno 'HAPA KAZI TU' yaondolewe kwenye mali za nchi, yanatia aibu na wala hayana maana yoyote

Maneno 'HAPA KAZI TU' yaondolewe kwenye mali za nchi, yanatia aibu na wala hayana maana yoyote

Kivipi za huruma ilihali CCM imeshindwa Kila kitu? Hivi 2025 kwenye kampeni mtawaambia Nini wananchi? Ilihali bei ziko juu, no umeme , no Maji, no ajira, wakulima kilio n.k ni kundi Gani litawapigia kura? Mind you Mama Samia ni mzenji so Hana mtaji wa kura huku bara so bila kula za huruma hakuna mwenye akili timamu ataichagua CCM
CCM sio mtu mmoja. CCM ni watu na Mama Samia ni kiongozi. Ushindi wa CCM ni jitihada za wanachama wote sio mwenyekiti peke yake. Hayo yote uliyotaja yana majibu ya kutosha. Nakushauri wewe na CHADEMA kwa ujumla mtafute agenda itakayowabeba kama ilivyokuwa agenda ya ufisadi kwa 2010 na 2015. Kwa sasa mmevurugwa kiasi kwamba viongozi wenu waandamizi wakipanda majukwaani ni kumsifia tu mwenyekiti wa CCM kuashiria kwamba maslahi yao yako salama.
 
CCM sio mtu mmoja. CCM ni watu na Mama Samia ni kiongozi. Ushindi wa CCM ni jitihada za wanachama wote sio mwenyekiti peke yake. Hayo yote uliyotaja yana majibu ya kutosha. Nakushauri wewe na CHADEMA kwa ujumla mtafute agenda itakayowabeba kama ilivyokuwa agenda ya ufisadi kwa 2010 na 2015. Kwa sasa mmevurugwa kiasi kwamba viongozi wenu waandamizi wakipanda majukwaani ni kumsifia tu mwenyekiti wa CCM kuashiria kwamba maslahi yao yako salama.
Acha uongo wewe chawa
 
Huu ni ushauri ninaoupeleka kwa wahusika wote pamoja na wenye mali ambao ni wananchi.

Kuwepo kwa maneno haya ya kijinga kwenye ndege zilizonunuliwa kwa hela za wananchi, au unaweka maneno haya kwenye meli zetu ni upuuzi usio na mfano. Haya yanafanywa na makondakta wa daladala za DSM kwa lengo la kujiliwaza kutokana na foleni za mkoa huo.

Kama tunataka kuchorachora ndege zetu au meli zetu basi tuchore maandishi ya maana, kama Timu ya Simba imeweka nembo ya 'VISIT TANZANIA', kwanini msifanye hivyo kwenye mali za Taifa badala ya kutuwekea mavitu yasiyo na maana?

Hivi ukiulizwa na wageni maana ya 'HAPA KAZI TU' utajibu nini? mbona mnatudhalilisha kirahisi namna hii? Tafadhali sana TUHESHIMIANE.

Wewe jamaa magu alikufanya nini??
Maana ukilala ukiamka unamuwaza yeye tu.
 
Huu ni ushauri ninaoupeleka kwa wahusika wote pamoja na wenye mali ambao ni wananchi.

Kuwepo kwa maneno haya ya kijinga kwenye ndege zilizonunuliwa kwa hela za wananchi, au unaweka maneno haya kwenye meli zetu ni upuuzi usio na mfano. Haya yanafanywa na makondakta wa daladala za DSM kwa lengo la kujiliwaza kutokana na foleni za mkoa huo.

Kama tunataka kuchorachora ndege zetu au meli zetu basi tuchore maandishi ya maana, kama Timu ya Simba imeweka nembo ya 'VISIT TANZANIA', kwanini msifanye hivyo kwenye mali za Taifa badala ya kutuwekea mavitu yasiyo na maana?

Hivi ukiulizwa na wageni maana ya 'HAPA KAZI TU' utajibu nini? mbona mnatudhalilisha kirahisi namna hii? Tafadhali sana TUHESHIMIANE.

Wageni? Ndiyo akina nani hao na wana uhalali gani wa kutuuliza maana ya HAPA KAZI TU!
 
Huu ni ushauri ninaoupeleka kwa wahusika wote pamoja na wenye mali ambao ni wananchi.

Kuwepo kwa maneno haya ya kijinga kwenye ndege zilizonunuliwa kwa hela za wananchi, au unaweka maneno haya kwenye meli zetu ni upuuzi usio na mfano. Haya yanafanywa na makondakta wa daladala za DSM kwa lengo la kujiliwaza kutokana na foleni za mkoa huo.

Kama tunataka kuchorachora ndege zetu au meli zetu basi tuchore maandishi ya maana, kama Timu ya Simba imeweka nembo ya 'VISIT TANZANIA', kwanini msifanye hivyo kwenye mali za Taifa badala ya kutuwekea mavitu yasiyo na maana?

Hivi ukiulizwa na wageni maana ya 'HAPA KAZI TU' utajibu nini? mbona mnatudhalilisha kirahisi namna hii? Tafadhali sana TUHESHIMIANE.
Kauli ya hapa kazi tu inahamasisha utendaji na watu wajivunie kufanya kazi.

Kama unaona neno kazi ni lakijinga muambie Miga akuelekeze ukale buer kwa beberu kamayeye.
 
Huu ni ushauri ninaoupeleka kwa wahusika wote pamoja na wenye mali ambao ni wananchi.

Kuwepo kwa maneno haya ya kijinga kwenye ndege zilizonunuliwa kwa hela za wananchi, au unaweka maneno haya kwenye meli zetu ni upuuzi usio na mfano. Haya yanafanywa na makondakta wa daladala za DSM kwa lengo la kujiliwaza kutokana na foleni za mkoa huo.

Kama tunataka kuchorachora ndege zetu au meli zetu basi tuchore maandishi ya maana, kama Timu ya Simba imeweka nembo ya 'VISIT TANZANIA', kwanini msifanye hivyo kwenye mali za Taifa badala ya kutuwekea mavitu yasiyo na maana?

Hivi ukiulizwa na wageni maana ya 'HAPA KAZI TU' utajibu nini? mbona mnatudhalilisha kirahisi namna hii? Tafadhali sana TUHESHIMIANE.
📌📌📌
 
Hataivyo hongera kwa kuangalia meli ikiwa inawekwa ziwani Leo.
Naona Ulitaka kujinyonga baada yakuona melikuwa iliyo asisiwa na Magufuli ikiwa tayari kuwa hudumia wananchi.
Hiloneno HAPA KAZI TU umeliona tena Leo kwenye meli na ndio limekupandisha maruhani.
 
Huu ni ushauri ninaoupeleka kwa wahusika wote pamoja na wenye mali ambao ni wananchi.

Kuwepo kwa maneno haya ya kijinga kwenye ndege zilizonunuliwa kwa hela za wananchi, au unaweka maneno haya kwenye meli zetu ni upuuzi usio na mfano. Haya yanafanywa na makondakta wa daladala za DSM kwa lengo la kujiliwaza kutokana na foleni za mkoa huo.

Kama tunataka kuchorachora ndege zetu au meli zetu basi tuchore maandishi ya maana, kama Timu ya Simba imeweka nembo ya 'VISIT TANZANIA', kwanini msifanye hivyo kwenye mali za Taifa badala ya kutuwekea mavitu yasiyo na maana?

Hivi ukiulizwa na wageni maana ya 'HAPA KAZI TU' utajibu nini? mbona mnatudhalilisha kirahisi namna hii? Tafadhali sana TUHESHIMIANE.
Nonsense
 
Huu ni ushauri ninaoupeleka kwa wahusika wote pamoja na wenye mali ambao ni wananchi.

Kuwepo kwa maneno haya ya kijinga kwenye ndege zilizonunuliwa kwa hela za wananchi, au unaweka maneno haya kwenye meli zetu ni upuuzi usio na mfano. Haya yanafanywa na makondakta wa daladala za DSM kwa lengo la kujiliwaza kutokana na foleni za mkoa huo.

Kama tunataka kuchorachora ndege zetu au meli zetu basi tuchore maandishi ya maana, kama Timu ya Simba imeweka nembo ya 'VISIT TANZANIA', kwanini msifanye hivyo kwenye mali za Taifa badala ya kutuwekea mavitu yasiyo na maana?

Hivi ukiulizwa na wageni maana ya 'HAPA KAZI TU' utajibu nini? mbona mnatudhalilisha kirahisi namna hii? Tafadhali sana TUHESHIMIANE.
Kwaiyo hutaki kazi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namuona Rais kijana akichukua mamlaka na kauli mbiu ya "Hapa Kazi tu" baada ya karne moja kupita.
 
Huu ni ushauri ninaoupeleka kwa wahusika wote pamoja na wenye mali ambao ni wananchi.

Kuwepo kwa maneno haya ya kijinga kwenye ndege zilizonunuliwa kwa hela za wananchi, au unaweka maneno haya kwenye meli zetu ni upuuzi usio na mfano. Haya yanafanywa na makondakta wa daladala za DSM kwa lengo la kujiliwaza kutokana na foleni za mkoa huo.

Kama tunataka kuchorachora ndege zetu au meli zetu basi tuchore maandishi ya maana, kama Timu ya Simba imeweka nembo ya 'VISIT TANZANIA', kwanini msifanye hivyo kwenye mali za Taifa badala ya kutuwekea mavitu yasiyo na maana?

Hivi ukiulizwa na wageni maana ya 'HAPA KAZI TU' utajibu nini? mbona mnatudhalilisha kirahisi namna hii? Tafadhali sana TUHESHIMIANE.
Ulitaka waandike kidumu chama cha mapinduzi? Hapa kazi tu ni usemi wa kuashiria utendaji kwa kiwango kilichopitiliza.
Kununua ndege ambazo hazijawahi kununuliwa zaidi ya miaka 60 ni kielelzi cha hapa kazi tu, kujenga reli ambayo haijawahi jengwa kwa miaka 60 ni kielelezo cha hapa kazi tu..ni mwaka gani serikali ilitengeneza meli kwa wingi kama ilivyojenga wakati wa hapa kazi tu?? Stendi za kisasa, masoko ya kisasa, shule za kisasa, miundo mbinu ya barabara za kisasa..
 
Back
Top Bottom