Maneno haya ya Rais Samia yamenibubujisha Machozi ya furaha kuwahi kutokea

Wewe ni hopeless.
Sina baya na mtu mimi
.kazi yangu ni kutoa msamaha kwa watu wote. Hata wewe pamoja na mapungufu yako na akili yako ndogo bado nimeamua kukusamehe na kumuomba Mungu wangu wa mbinguni akusamehe sana.

Mjue sana Mungu ndipo utakapokuwa na amani ya kweli.
 
Nakuja mlowo tububujikwe pamoja pale SAITEMA
 

Maneno ya Mkuu wa wilaya ya Longido hayaja kububujisha Jasho?
 
Kuandika tu naona ni mgogoro.ungejitajidi urejee hata shule kujifunza kuandika

Ni typing error, but huo ndio ukweli ndio maana Kanal Abraham wa jk alipopanda cheo akaondoka na kuja Kanali mkeremi na mkeremi after kupanda cheo akaondoka akaja mwingine

Brigedia hawezi kuwa ADC
 
Ni typing error, but huo ndio ukweli ndio maana Kanal Abraham wa jk alipopanda cheo akaondoka na kuja Kanali mkeremi na mkeremi after kupanda cheo akaondoka akaja mwingine

Brigedia hawezi kuwa ADC
Kaa kwa kutulia huko wewe.
 
Kila ukibubujikwa na machozi unaanzisha thread si utajaza server bila sababu za msingi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…