Maneno haya ya Rais Samia yamenibubujisha Machozi ya furaha kuwahi kutokea

Ningekuwa mm ndo mmliki au nafanya kazi JF basi ningekuwa nimeshaifutilia mbali Account yako.

Kazi uchawa tu, Mda wa kuandika uzi wa kupuuzi mrefu hv n bora ungempigia mama yako home umsalimie
 
Ningekuwa mm ndo mmliki au nafanya kazi JF basi ningekuwa nimeshaifutilia mbali Account yako.

Kazi uchawa tu, Mda wa kuandika uzi wa kupuuzi mrefu hv n bora ungempigia mama yako home umsalimie
Futa kwanza ujinga wako
 
ya Longido vipi mkuu? yamekufarahisha?
 
ya Longido vipi mkuu? yamekufarahisha?
Hatua zilizochukuliwa na Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan zimenifurahisha na kunikosha.maana DC yule inaonyesha alipanga kukichafua chama na serikali
 
Shahawa nyingine heri zingemwagwa nje tu
 
Kwa kweli Daktari Samia ni mfano wa viongozi wachapa kazi sana hapa duniani.
 

Nguchiro
 
Umesamehewa dhambi zako zote bure kabisa
Uwe na akili kichwani... usiwe lofa la kufua chupi za wakubwa, eti nimetoa machozi, usimlilie baba yako na mama yako umlilie samia? WASTAGE SPERMS! WASTAGE EJACULATION
 
Uwe na akili kichwani... usiwe lofa la kufua chupi za wakubwa, eti nimetoa machozi, usimlilie baba yako na mama yako umlilie samia? WASTAGE SPERMS! WASTAGE EJACULATION
Naona umepaniki na kuchanganyikiwa vibaya sana Utafikiri mgonjwa wa akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…