Maneno haya ya Rais Samia yamenibubujisha Machozi ya furaha kuwahi kutokea

Hofu ya Mungu, kuchikia rushwa na ufisadi ni muhimu sana kwa Kiongozi wa Nchi. Kujilimbikizia mali wakati wananchi wanataabika kwa umasikini ni laana kubwa sana.
 
Hofu ya Mungu, kuchikia rushwa na ufisadi ni muhimu sana kwa Kiongozi wa Nchi. Kujilimbikizia mali wakati wananchi wanataabika kwa umasikini ni laana kubwa sana.
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ni kiongozi mwenye Hofu ya Mungu na Mcha Mungu Sana. Ndio maana unaona hata Taifa likibarikiwa na kutamalaki kwa neema kila eneo.
 
Hiyo yote ni nukuu toka kwa Mwl sasa machozi yako yamebubujika kwa maneno gani mapya? Shukuru Mungu nchi yetu inadumisha amani haswa kupitia TPDF.
 
Headless chicken is here again! Huyu mama si akuhurumie akupe hata U-DC kule Longido!
 
Kwa hakika mama anatosha. ✔️
 
😂😂😂ila
We jamaa nimekupigia saluti yani we ni kamanda asie choka
 
😂😂😂ila

We jamaa nimekupigia saluti yani we ni kamanda asie choka
Kazi nzuri na za kupendeza anazofanya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,ni ngumu sana kukaa kimya pasipo kuzungumza.tukikaa kimya hata mawe yatazungumza
 
Kijana, Wewe ni hopeless. Usijifanye uko timamu upstairs. Kubali tu wewe ni empty head!
 
Ali Bananga hajakutoa machozi ya furaha?.
 
kumbuka kunywa maji mengi siyo kwa kububujikwa huko na machozi kila saa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…