Maneno ya Mchepuko: "Bibi yangu aliwahi kuniambia mwanaume hashibi mwanamke mmoja"

Maneno ya Mchepuko: "Bibi yangu aliwahi kuniambia mwanaume hashibi mwanamke mmoja"

Aramun

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
461
Reaction score
2,213
Pia akampa mfano, "unaona pale kwenye banda la mbuzi, si unaona kuna madume matatu ila majike 38?"

Vivyo hivyo na kwa wanyama wengine kama simba, dume moja huwa na kundi la majike, na huo ndo huufanya kama ufalme wake.

Bibi yake akamuambia kwenye maisha kuna maneno ya kuambiwa na kuna asili ya mambo yalivyo. Akamuambia kamwe asije akaishi kwa kuikimbia asili. Huwezi kupambana na asili na ukashinda.

Kazi kwenu wanawake wa nyakati hizi.
 
Ofcourse inategemea unataka kufanya nini Sperm ni nyingi wakati Yai ambalo linahitaji kuwa fertilized ni machache..., ndio maana kwenye nyuki akitaka kuanza safari ya umalikia anapaa na kwenda mbali wenye nguvu madume ndio wanampanda na anatunza mbegu (madume haya yakimaliza kazi yanakufa) na yeye akishapata mayai mengi anarudi kwenye mzinga na kazi yake inakuwa ni kufyatua mayai ambayo mwisho wa siku yanakuwa nyuki (haimaanishi na sisi wanaume tukipanda wake zetu tufe)

Pili kuna sehemu ilikuwa ruksa kwa mwanamke mmoja kuwa na wanaume zaidi ya mmoja (wanaume walikuwa wachache)

Wamasai walikuwa wakienda kutafuta malisho akija mmasai mwingine kama mwenye nyumba ameondoka ruksa kumiliki hio nyumba (it worked for them and it had a purpose)

Zamani ilikuwa wake na watoto ndio nguvu kazi ukiwa na watoto wengi ndio utajiri kwahio unaweza ukawa na kijiji kizima watalima na kujilisha (leo hii kila mdomo unahitaji nguvu za wazazi kulishwa, hata wewe tu kujilisha ni shughuli; ujira umekuwa shughuli kuupata)

Hence to each their own na kila zama na vitabu vyake....
 
Fuatilia takwimu za watu duniani ulete mrejesho
Hii habari inahusu bibi wa kitanzania ambayo ameitoa kulingana na mazingira ya Tanzania , tukija kuangalia population ya walengwa ambao ni watanzania idadi yao wanawake kwa wanaume ikoje.
Kuna nchi nyingine Kama India wanawake wanatoa mahari je tuchukue utaratibu wa India na kuufanya wa dunia.
 
Ofcourse inategemea unataka kufanya nini Sperm ni nyingi wakati Yai ambalo linahitaji kuwa fertilized ni machache..., ndio maana kwenye nyuki akitaka kuanza safari ya umalikia anapaa na kwenda mbali wenye nguvu madume ndio wanampanda na anatunza mbegu (madume haya yakimaliza kazi yanakufa) na yeye akishapata mayai mengi anarudi kwenye mzinga na kazi yake inakuwa ni kufyatua mayai ambayo mwisho wa siku yanakuwa nyuki (haimaanishi na sisi wanaume tukipanda wake zetu tufe)

Pili kuna sehemu ilikuwa ruksa kwa mwanamke mmoja kuwa na wanaume zaidi ya mmoja (wanaume walikuwa wachache)

Wamasai walikuwa wakienda kutafuta malisho akija mmasai mwingine kama mwenye nyumba ameondoka ruksa kumiliki hio nyumba (it worked for them and it had a purpose)

Zamani ilikuwa wake na watoto ndio nguvu kazi ukiwa na watoto wengi ndio utajiri kwahio unaweza ukawa na kijiji kizima watalima na kujilisha (leo hii kila mdomo unahitaji nguvu za wazazi kulishwa, hata wewe tu kujilisha ni shughuli; ujira umekuwa shughuli kuupata)

Hence to each their own na kila zama na vitabu vyake....
Msikariri nyakati someni hapa. Change is constant.
 
Back
Top Bottom