Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
We shemela weweee..!!! Nani anakulaza na njaa?Enzi za bibi ako sio enzi za sasa, hata wanawake hatushibi.....tena tunalala na njaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We shemela weweee..!!! Nani anakulaza na njaa?Enzi za bibi ako sio enzi za sasa, hata wanawake hatushibi.....tena tunalala na njaa
Hivi mamlaka ya kujimilikisha nyege ni nani kawapa???? Mwanaume hashibi mwanaume hatosheki mwanaume sijui mwanamke mmoja fyeeee.....kwendeni mbuzi nyie.We shemela weweee..!!! Nani anakulaza na njaa?
😂Enzi za bibi ako sio enzi za sasa, hata wanawake hatushibi.....tena tunalala na njaa
Leo shemela kachafukwa..!!! Shemela wangu anagongwa na mbuziHivi mamlaka ya kujimilikisha nyege ni nani kawapa???? Mwanaume hashibi mwanaume hatosheki mwanaume sijui mwanamke mmoja fyeeee.....kwendeni mbuzi nyie.
😹😹😹😹Leo shemela kachafukwa..!!! Shemela wangu anagongwa na mbuzi
AahaaaaPia akampa mfano, "unaona pale kwenye banda la mbuzi, si unaona kuna madume matatu ila majike 38?"
Vivyo hivyo na kwa wanyama wengine kama simba, dume moja huwa na kundi la majike, na huo ndo huufanya kama ufalme wake.
Bibi yake akamuambia kwenye maisha kuna maneno ya kuambiwa na kuna asili ya mambo yalivyo. Akamuambia kamwe asije akaishi kwa kuikimbia asili. Huwezi kupambana na asili na ukashinda.
Kazi kwenu wanawake wa nyakati hizi.
Ila anashiba kwanza Ili alilinde kundiSimba majike ndio bread winner, dume linakuja kula tu na ndio anaanza kula kwanza mpaka ashibe ndio familia ianze kula.
Nipo wa peke yakozamani nilijua nawezapata mwanaume wangu pekeangu 🙆🏾🙆🏾 Uuuuweeeeh
Njoo upate mwiko mmoja hapaEnzi za bibi ako sio enzi za sasa, hata wanawake hatushibi.....tena tunalala na njaa
Bibi amepigaje hapaPia akampa mfano, "unaona pale kwenye banda la mbuzi, si unaona kuna madume matatu ila majike 38?"
uko wapi mbona sokuoni,,au wameshakuchakaza moyo unataka kwa kuutua sasa🖐🏾😂staki mizigo mimNipo wa peke yako
I wish to be a lion in my next lifeSimba majike ndio bread winner, dume linakuja kula tu na ndio anaanza kula kwanza mpaka ashibe ndio familia ianze kula.
Miye nakufaauko wapi mbona sokuoni,,au wameshakuchakaza moyo unataka kwa kuutua sasa🖐🏾😂staki mizigo mim
Hili ni kweliPia akampa mfano, "unaona pale kwenye banda la mbuzi, si unaona kuna madume matatu ila majike 38?"
Vivyo hivyo na kwa wanyama wengine kama simba, dume moja huwa na kundi la majike, na huo ndo huufanya kama ufalme wake.
Bibi yake akamuambia kwenye maisha kuna maneno ya kuambiwa na kuna asili ya mambo yalivyo. Akamuambia kamwe asije akaishi kwa kuikimbia asili. Huwezi kupambana na asili na ukashinda.
Kazi kwenu wanawake wa nyakati hizi.
apo sasa hunifai kama huna kazi nyingine basiMiye nakufaa
Kazi yangu ni kuchakata mbususu tu
ayaSawa
Wape wengine
Na walikuwa wanaambiwa kabisa "usiweke mayai yote kwenye kapu moja" wakimaanisha changanya mbegu kwenye uzao wako..Hili ni kweli
Na vile vile majike hayo hayo yakikutana na madume mengine yanayojua chimbo za majani (zingatia neno majani) mbalimbali wanapeana kama kawaida, hata kama kuna dume bandani. Vile vile mabibi wa zamani walichanganyia sana babu zetu watoto ndo ukaja msemo kitanda hakizai haramu, na mababu wakalea. Ni basi tu hayakusemwaga kwa saut hapo zamani.....
Yani jamaa kajitolea hivyo 'kukupenda' peke yako na umemkataa😂apo sasa hunifai kama huna kazi nyingine basi