Maneno ya Mchepuko: "Bibi yangu aliwahi kuniambia mwanaume hashibi mwanamke mmoja"

Maneno ya Mchepuko: "Bibi yangu aliwahi kuniambia mwanaume hashibi mwanamke mmoja"

Pia akampa mfano, "unaona pale kwenye banda la mbuzi, si unaona kuna madume matatu ila majike 38?"

Vivyo hivyo na kwa wanyama wengine kama simba, dume moja huwa na kundi la majike, na huo ndo huufanya kama ufalme wake.

Bibi yake akamuambia kwenye maisha kuna maneno ya kuambiwa na kuna asili ya mambo yalivyo. Akamuambia kamwe asije akaishi kwa kuikimbia asili. Huwezi kupambana na asili na ukashinda.

Kazi kwenu wanawake wa nyakati hizi.
Aahaaaa
 
Simba majike ndio bread winner, dume linakuja kula tu na ndio anaanza kula kwanza mpaka ashibe ndio familia ianze kula.
Ila anashiba kwanza Ili alilinde kundi

Analishwa Ili ashibe

Bila yeye kuwepo pale hakuna pride
 
Pia akampa mfano, "unaona pale kwenye banda la mbuzi, si unaona kuna madume matatu ila majike 38?"

Vivyo hivyo na kwa wanyama wengine kama simba, dume moja huwa na kundi la majike, na huo ndo huufanya kama ufalme wake.

Bibi yake akamuambia kwenye maisha kuna maneno ya kuambiwa na kuna asili ya mambo yalivyo. Akamuambia kamwe asije akaishi kwa kuikimbia asili. Huwezi kupambana na asili na ukashinda.

Kazi kwenu wanawake wa nyakati hizi.
Hili ni kweli

Na vile vile majike hayo hayo yakikutana na madume mengine yanayojua chimbo za majani (zingatia neno majani) mbalimbali wanapeana kama kawaida, hata kama kuna dume bandani. Vile vile mabibi wa zamani walichanganyia sana babu zetu watoto ndo ukaja msemo kitanda hakizai haramu, na mababu wakalea. Ni basi tu hayakusemwaga kwa saut hapo zamani.....
 
Hili ni kweli

Na vile vile majike hayo hayo yakikutana na madume mengine yanayojua chimbo za majani (zingatia neno majani) mbalimbali wanapeana kama kawaida, hata kama kuna dume bandani. Vile vile mabibi wa zamani walichanganyia sana babu zetu watoto ndo ukaja msemo kitanda hakizai haramu, na mababu wakalea. Ni basi tu hayakusemwaga kwa saut hapo zamani.....
Na walikuwa wanaambiwa kabisa "usiweke mayai yote kwenye kapu moja" wakimaanisha changanya mbegu kwenye uzao wako..

Kimsingi zamani wazee wetu waliishi to their fullest...
 
Back
Top Bottom