Maneno ya Rais Samia yafika kwenye vyombo vya habari vya kimataifa

Maneno ya Rais Samia yafika kwenye vyombo vya habari vya kimataifa

Wewe ni Psychiatric Case hallucination na delusion zinakusumbu

ngojea ni kupuuze sina muda wa kupoteza wa kubishana na wagonjwa
wa akili.
Jipuuze wewe mwenyewe usiyekua na akili,unajua hata nyie vichaa hua mnaona wenye akili ndio vichaa,na nyie vichaa ndio mna akili,

Siku nyingine ukiiona hii ID uiogope kama ukoma,ulikuja na maneno ya kejeli,ulifikiri ningekuchekea sio?
 
Tanzania nchi ya amani yote haya yanatokea kwa ajili ya manufaa ya nani tuishi na mshikamano wetu ndio jadi yetu serikali ichukue hatua stahiki kwa yanayotokea tusije tukajikuta kwenye hali mbaya


#Alert your boy am out peace
 
Firstpost ya Youtube ndiyo "vyombo vya habari vya kimataiafa"? Hawa wenye kiherehere na wanajitokeza wenyewe Youtube channel yako sababu wamepata namna ya ku exploit youtube search history algorithms na wana appear from nowhere?
 
Back
Top Bottom