Mange Kimambi ni mdada wa mjini, mtoto wa marehemu Jumanne Kimambi alikuwa mfanya biashara mashuhuri miaka ya 90. Mange alipata mchumba wa kimarekani wakati akiwa anaishi Dubai na alifunga ndoa Dar. Ni mama wa watoto watatu na anaishi Marekani. Amaeachwa na mzungu juzi tu, wino kwenye karatasi ya talaka haujakauka bado.Mkuu embu nipe ubuyuu, maana huwa namsikia tu huyu mange, mumewe alikuwa nani???
Inashangaza.....Hizi personal attack za Mange kwa Paul ni sababu za kisiasa au kuna mengine?
Aa watu wengine akili zmeganda ajui mambo anaongea2 atutokee apaM
Mkuu vp tena?! Ina maana dada yetu anatupa chai kuhusu Mange kuhojiwa na FBI
Wale wadada wa mjini waliogombana nae ilibidi wamtafute Kichwa Pazi kudili na Mange, pale dakika 20 mbele ya mshale, umtaje kesho atakuchamba mpaka mpaka useme poh.clouds media huwa wanajifanya vichwa panzi lakini hakuna anayenyanyua kolomeo lake kumtaja Mange , hata kwenye magazeti uchambuzi wanajifanya kumruka
"Joti ana stress za kukosa kilainishi"Kamtundikamo na joti humohumo kamuonea lakini
Anaelekea kuzuri tuWana Chit-chat mmemsoma Mange Leo ? Kwa kweli hali ya hewa imechafuka nashindwa kuweka screen shot hapa inakataa Kwa anayeweza hebu aiweke wasio na insta account. Mange huyu anaelekea pabaya
Nadhani anamaanisha joti yumo kwenye kundi la watu waliotakiwa kuwa unfollow"joti ana stress ya kukosa kilainisì"!
Anamanishi nini?
huu dada ni nyokooo.clouds media huwa wanajifanya vichwa panzi lakini hakuna anayenyanyua kolomeo lake kumtaja Mange , hata kwenye magazeti uchambuzi wanajifanya kumruka
Lazima ujue kutofautishaaVery sad, mpaka nimeona aibu mimi Jamani, pole sana Makonda, naomba umfundishe adabu huyo mtu, mbona serikali ilimkamata yule mtu anaemtishia Rais Magufuli ?ishindwe kumkamata Mange?Magufuli please do some thing... This is too much! Yaani huwezi kuamini ni mwanamke mwenye watoto mnh
Ivi izi personal attack si alikuwa anapewa lowasa au ni nin hasa kilichoharibika hapoDah! Aisee labda Mange angefunguka ni jambo gani alilokosewa na huyu kaka?? Mana kama ni issue za Utendaji mbona angeliongelea kwa fact tu na kutoa mawazo yake kwamba iweje au afanye nini na alichofanya si sawa yani angetoa ushauri kama afanyavyo baadhi ya posti, Lakin kumchambua mtu kwa mambo binafsi inakuwa ngumu jamii kumuelewa au labda baadae atakuja kufunguka nini kilimpelekea kufanya hivyo. DAH!!!!
Hatujui mkuu, tupe ubuyuuMuktadha wa yeye kuandika hivyo ni upi?
Kaamua tu ghafla bin vuu kuandika hivyo au na yeye kaandikwa\kasemwa vibaya na akaamua kujibu mapigo?
Kuna anayeufahamu muktadha huo?
Hayo maelezo ni kama utani joti huwa anapenda Sana kuzungumzia mambo ya vilainishi"joti ana stress ya kukosa kilainisì"!
Anamanishi nini?