Mange Kimambi ameshachafua hewa huko insta

Mange Kimambi ameshachafua hewa huko insta

Me nimesoma nikajiweka kwenye [emoji151][emoji151] Viatu vya mrs mkuu wa jiji lakini bado nilihisi vimenibana. Ni vibaya mno kufanya personal attacks Kiama hizi anaharibu saikolojia za watu. Tangu amtukane mzee lowasa sijawahi kumuelewa tena anapenda matusi magumu magumu kurushia watu hajali kabisa I see.
Hajuagi siasa huyu

Kipondi cha kampeni nilimu-unfollow maana ilikuwa too much matusi.....


Sema ubuyu wa mjini tu ulinirudisha kwake....


Ila ku-joke kuhusu infertility not right kabisa...... watu wanahangaika kupata watoto....wanapitia magumu na mitihani ya kila namna....

Haipendezi
 
Hajuagi siasa huyu

Kipondi cha kampeni nilimu-unfollow maana ilikuwa too uch matusi.....


Sema ubuyu wa mjini tu ulinirudisha kwake....


Ila ku-joke kuhusu infertility not right kabisa...... watu wanahangaika kupata watoto....wanapitia magumu na mitihani ya kila namna....

Haipendezi
Attention seeker, asipotukana serikali nani atamtaja Mange kwa lipi? Blog imebuma, biashara hola, kichwapazi amemvua nguo zote😳😳
 
[emoji125]
 

Attachments

  • 1473338688368.jpg
    1473338688368.jpg
    55.6 KB · Views: 107
  • 1473338696384.jpg
    1473338696384.jpg
    76.9 KB · Views: 109
  • 1473338702979.jpg
    1473338702979.jpg
    91.7 KB · Views: 114
Wacha nimsake nimlete hapa kwa uzi huu apate ushauri na athibitushe mapenzi enzi za olevo na mtu mmoja humu!!!aaah oops 50 active ipi sasa?!!!!
 
Sijajua huyu mwanamke anajiamini nini[emoji102]
 
Attention seeker, asipotukana serikali nani atamtaja Mange kwa lipi? Blog imebuma, biashara hola, kichwapazi amemvua nguo zote😳😳
Alivyolala ndani last time nilidhani kajifunza......

Halafu ana matusiiiiiiiiiiii kuita wenzie mbwa ni mwepesi kweli kweli

Labda mwisho wake unakuja...maana siku hizi anekuwa too much

Heri angeendelea kujikita na kuposti ubuyu tu
 
wiki hii viongozi wa ccm ngazi za juu wanapitia kipindi kigumu sana kule zitto na uchumi huku mbowe na bandari ukija kule mange na kujiuzulu kwa makamu da shida tupu.

Week ya uzito ulio tukuka alianzia ikulu anashuka sasa kuelekea ngazi za chini. Loneliness inamfanya kitu mbaya amegeuka viper.
 
Hivi huyu bibie wazazi wake hapa bongo wana cheo gani au walikuwa akina nani.
 
Week ya uzito ulio tukuka alianzia ikulu anashuka sasa kuelekea ngazi za chini. Loneliness inamfanya kitu mbaya amegeuka viper.


Du hatar sna haya mambo had mm naona kizunguzungu.
 
Back
Top Bottom